Mch. Msigwa: Tumefika kikomo kuvumilia yanayofanywa na CCM

Mch. Msigwa: Tumefika kikomo kuvumilia yanayofanywa na CCM

Huyu ndo bure kabisa, alipopatukana rais wa kweli enzi zile kufanya mageuzi makubwa ya kiuchumi na utendaji haka kajamaa kakaendelea kumsagia kunguni.

Kapuuzwe.
Rais wa kweli yupi? Yule mshamba aliyekufa kizembe? Bora alivyokufa maana angeendelea kuishi nchi ingekuwa ishafilisika hii
 
Huyu ndo bure kabisa, alipopatukana rais wa kweli enzi zile kufanya mageuzi makubwa ya kiuchumi na utendaji haka kajamaa kakaendelea kumsagia kunguni.

Kapuuzwe.

Na wewe ni wa kupuuzwa na kila mwenye akili timamu.

Jadili hoja yake, usilete vioja. Kama huna hoja, kaa kimya, soma michango ya walioelewa na wenye hoja.
 
Tatizo CHADEMA imeshindwa kutuonyesha Watanzania itaenda kufanya nini tofauti na CCM.

Mfano miwili midogo kati ya mengi

Wana CCM wanajenga hekalu zao, CHADEMA wanashindana, nao wameenda kujenga mahekalu.

CCM wanatembea na V8, CHADEMA wanatembea na Helikopta.

Bora niwachague CCM kwa sababu ni wao waliowezesha majeshi yetu ya Usalama kuendeleza amani wakati CHADEMA na vyama vingine wakitengeneza siasa za Uhasama, Chuki, Visasi na Vinyongo kwa sababu binafsi.

Mazingira waliyoyatengeneza hawa majamaa yalikuwa yanahatarisha Amani, sasa wameanza tena. mwishowe waanze kujiteka na kuingia kwenye siasa za ugaidi.
Crap from mind crippled creature.
 
Jamaa anajifanya anauelewa mkubwa kumbe bure kabisa kanajifanya kana msimamo kumbe hakuna kitu kipindi kamepekekwa gereza la segerea kalikataa kutoka kumbe ndani ya CCM ambayo ilikuwa inahujumu serikali ikakaambia kasitoke na kenyewe ka ka kataa kutoka kapuuzi makubwa kajamaa hako

Another crap from low mind.
 
Bwawa la umeme lililowashwa leo mliliunga mkono ujenzi wake?

Wewe nadhani umekosa uelewa.

Kuna mtu amewahi kukataa kuwa nchi imekuwa inahitaji nyongeza ya umeme? Watu walikuwa wanahoji uamuzi wa kuendelea kujenga mabwawa ya maji kama chanzo cha umeme wakati yaliyopo tayari yanashindwa kuzalisha umeme uliotakiwa kwa sababu ya upungufu wa maji. Na walikuwa sahihi sana. Na wala hilo bwawa haliwezi kuwa mwarobaini ya Tatizo letu kubwa la kukosekana umeme wa uhakika. Lazima tupate umeme wa vyanzo tofauti pia. Upgrading ya umeme wa gas ingetupatia umeme kwa haraka zaidi na kwa gharama nafuu zaidi.

Kuna mambo alifanya vizuri, na kuna mambo alifanya vibaya kabisa, hasa kwenye haki za watu, utawala wa sheria na demokrasia. Wa sasa amefanya vibaya zaidi, hasa kwenye uzalendo kwa nchi yake na usimamizi wa Serikali. Rasilimali za nchi amezifanya kama pipi, amezigawa hovyo kwa wageni kwaajili ya maslahi binafsi ya watu wa karibu yake. Viongozi na watendaji wa Serikali, kila mtu anafanya anavyotaka. Anayetaka kuiba ruksa, anayetaka rushwa ruksa, n.k.
 

Attachments

  • wildebeest-poke.gif
    wildebeest-poke.gif
    1.1 MB · Views: 3
"Huwezi badilisha kile unachovumilia, tumekuwa tukivumilia shida zilizosababishwa na CCM, imefika wakati sasa wa kuacha kuvumilia shida na kuifanya kama sehemu ya maisha yetu, hatuna sababu ya kuvumilia shida kwa sababu mamlaka inatoka kwetu hizi na kudai mabadiliko, wananchi tuache kuvumilia hizi shida na tushirikiane kwa pamoja kulisema hili na tuhakikishe tunafikisha ujumbe kwa watawala na mwaka 2025 tuwatoe madarakani" -Msigwa

Mch. Peter Msigwa amezungumza hayo alipofanya mahojiano maalumu na Jambo TV.
Kweli kabisa CCM ndio tatizo hapo tuwaondoe haraka!
 
Wewe nadhani umekosa uelewa.

Kuna mtu amewahi kukataa kuwa nchi imekuwa inahitaji nyongeza ya umeme? Watu walikuwa wanahoji uamuzi wa kuendelea kujenga mabwawa ya maji kama chanzo cha umeme wakati yaliyopo tayari yanashindwa kuzalisha umeme uliotakiwa kwa sababu ya upungufu wa maji. Na walikuwa sahihi sana. Na wala hilo bwawa haliwezi kuwa mwarobaini ya Tatizo letu kubwa la kukosekana umeme wa uhakika. Lazima tupate umeme wa vyanzo tofauti pia. Upgrading ya umeme wa gas ingetupatia umeme kwa haraka zaidi na kwa gharama nafuu zaidi.

Kuna mambo alifanya vizuri, na kuna mambo alifanya vibaya kabisa, hasa kwenye haki za watu, utawala wa sheria na demokrasia. Wa sasa amefanya vibaya zaidi, hasa kwenye uzalendo kwa nchi yake na usimamizi wa Serikali. Rasilimali za nchi amezifanya kama pipi, amezigawa hovyo kwa wageni kwaajili ya maslahi binafsi ya watu wa karibu yake. Viongozi na watendaji wa Serikali, kila mtu anafanya anavyotaka. Anayetaka kuiba ruksa, anayetaka rushwa ruksa, n.k.
Crap from mind crippled creature.
Matatizo yenu WANACHADEMA ndiyo hayo.

Hamna hoja zenye mashiko, na hata mkiwa nazo ni za kutukana tu na mkiishiwa na hoja mnaanza vijimatusi vyenu hivyo

I suggest you be more creative than that.

Sijui hata CHADEMA waliona nini kutoka kwenu. Hopeless
 
Back
Top Bottom