Mch. Msigwa: Tumefika kikomo kuvumilia yanayofanywa na CCM

Huyu ndo bure kabisa, alipopatukana rais wa kweli enzi zile kufanya mageuzi makubwa ya kiuchumi na utendaji haka kajamaa kakaendelea kumsagia kunguni.

Kapuuzwe.
Rais wa kweli yupi? Yule mshamba aliyekufa kizembe? Bora alivyokufa maana angeendelea kuishi nchi ingekuwa ishafilisika hii
 
Huyu ndo bure kabisa, alipopatukana rais wa kweli enzi zile kufanya mageuzi makubwa ya kiuchumi na utendaji haka kajamaa kakaendelea kumsagia kunguni.

Kapuuzwe.

Na wewe ni wa kupuuzwa na kila mwenye akili timamu.

Jadili hoja yake, usilete vioja. Kama huna hoja, kaa kimya, soma michango ya walioelewa na wenye hoja.
 
Crap from mind crippled creature.
 

Another crap from low mind.
 
Bwawa la umeme lililowashwa leo mliliunga mkono ujenzi wake?

Wewe nadhani umekosa uelewa.

Kuna mtu amewahi kukataa kuwa nchi imekuwa inahitaji nyongeza ya umeme? Watu walikuwa wanahoji uamuzi wa kuendelea kujenga mabwawa ya maji kama chanzo cha umeme wakati yaliyopo tayari yanashindwa kuzalisha umeme uliotakiwa kwa sababu ya upungufu wa maji. Na walikuwa sahihi sana. Na wala hilo bwawa haliwezi kuwa mwarobaini ya Tatizo letu kubwa la kukosekana umeme wa uhakika. Lazima tupate umeme wa vyanzo tofauti pia. Upgrading ya umeme wa gas ingetupatia umeme kwa haraka zaidi na kwa gharama nafuu zaidi.

Kuna mambo alifanya vizuri, na kuna mambo alifanya vibaya kabisa, hasa kwenye haki za watu, utawala wa sheria na demokrasia. Wa sasa amefanya vibaya zaidi, hasa kwenye uzalendo kwa nchi yake na usimamizi wa Serikali. Rasilimali za nchi amezifanya kama pipi, amezigawa hovyo kwa wageni kwaajili ya maslahi binafsi ya watu wa karibu yake. Viongozi na watendaji wa Serikali, kila mtu anafanya anavyotaka. Anayetaka kuiba ruksa, anayetaka rushwa ruksa, n.k.
 
Kweli kabisa CCM ndio tatizo hapo tuwaondoe haraka!
 
Crap from mind crippled creature.
Matatizo yenu WANACHADEMA ndiyo hayo.

Hamna hoja zenye mashiko, na hata mkiwa nazo ni za kutukana tu na mkiishiwa na hoja mnaanza vijimatusi vyenu hivyo

I suggest you be more creative than that.

Sijui hata CHADEMA waliona nini kutoka kwenu. Hopeless
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…