Rais wa kweli yupi? Yule mshamba aliyekufa kizembe? Bora alivyokufa maana angeendelea kuishi nchi ingekuwa ishafilisika hiiHuyu ndo bure kabisa, alipopatukana rais wa kweli enzi zile kufanya mageuzi makubwa ya kiuchumi na utendaji haka kajamaa kakaendelea kumsagia kunguni.
Kapuuzwe.
Bwawa la umeme lililowashwa leo mliliunga mkono ujenzi wake?
Huyu ndo bure kabisa, alipopatukana rais wa kweli enzi zile kufanya mageuzi makubwa ya kiuchumi na utendaji haka kajamaa kakaendelea kumsagia kunguni.
Kapuuzwe.
Crap from mind crippled creature.Tatizo CHADEMA imeshindwa kutuonyesha Watanzania itaenda kufanya nini tofauti na CCM.
Mfano miwili midogo kati ya mengi
Wana CCM wanajenga hekalu zao, CHADEMA wanashindana, nao wameenda kujenga mahekalu.
CCM wanatembea na V8, CHADEMA wanatembea na Helikopta.
Bora niwachague CCM kwa sababu ni wao waliowezesha majeshi yetu ya Usalama kuendeleza amani wakati CHADEMA na vyama vingine wakitengeneza siasa za Uhasama, Chuki, Visasi na Vinyongo kwa sababu binafsi.
Mazingira waliyoyatengeneza hawa majamaa yalikuwa yanahatarisha Amani, sasa wameanza tena. mwishowe waanze kujiteka na kuingia kwenye siasa za ugaidi.
Jamaa anajifanya anauelewa mkubwa kumbe bure kabisa kanajifanya kana msimamo kumbe hakuna kitu kipindi kamepekekwa gereza la segerea kalikataa kutoka kumbe ndani ya CCM ambayo ilikuwa inahujumu serikali ikakaambia kasitoke na kenyewe ka ka kataa kutoka kapuuzi makubwa kajamaa hako
Bwawa la umeme lililowashwa leo mliliunga mkono ujenzi wake?
Kweli kabisa CCM ndio tatizo hapo tuwaondoe haraka!"Huwezi badilisha kile unachovumilia, tumekuwa tukivumilia shida zilizosababishwa na CCM, imefika wakati sasa wa kuacha kuvumilia shida na kuifanya kama sehemu ya maisha yetu, hatuna sababu ya kuvumilia shida kwa sababu mamlaka inatoka kwetu hizi na kudai mabadiliko, wananchi tuache kuvumilia hizi shida na tushirikiane kwa pamoja kulisema hili na tuhakikishe tunafikisha ujumbe kwa watawala na mwaka 2025 tuwatoe madarakani" -Msigwa
Mch. Peter Msigwa amezungumza hayo alipofanya mahojiano maalumu na Jambo TV.
Wew ni mpu mbavu Bora ungenyamaza Tu pimbi mweupe wewRais wa kweli yupi? Yule mshamba aliyekufa kizembe? Bora alivyokufa maana angeendelea kuishi nchi ingekuwa ishafilisika hii
Wewe nadhani umekosa uelewa.
Kuna mtu amewahi kukataa kuwa nchi imekuwa inahitaji nyongeza ya umeme? Watu walikuwa wanahoji uamuzi wa kuendelea kujenga mabwawa ya maji kama chanzo cha umeme wakati yaliyopo tayari yanashindwa kuzalisha umeme uliotakiwa kwa sababu ya upungufu wa maji. Na walikuwa sahihi sana. Na wala hilo bwawa haliwezi kuwa mwarobaini ya Tatizo letu kubwa la kukosekana umeme wa uhakika. Lazima tupate umeme wa vyanzo tofauti pia. Upgrading ya umeme wa gas ingetupatia umeme kwa haraka zaidi na kwa gharama nafuu zaidi.
Kuna mambo alifanya vizuri, na kuna mambo alifanya vibaya kabisa, hasa kwenye haki za watu, utawala wa sheria na demokrasia. Wa sasa amefanya vibaya zaidi, hasa kwenye uzalendo kwa nchi yake na usimamizi wa Serikali. Rasilimali za nchi amezifanya kama pipi, amezigawa hovyo kwa wageni kwaajili ya maslahi binafsi ya watu wa karibu yake. Viongozi na watendaji wa Serikali, kila mtu anafanya anavyotaka. Anayetaka kuiba ruksa, anayetaka rushwa ruksa, n.k.
Matatizo yenu WANACHADEMA ndiyo hayo.Crap from mind crippled creature.