Mch. Mwasapile vs. Mch. Rwakatale

Mch. Mwasapile vs. Mch. Rwakatale

Samahani sana mkuu yaani "babu" unataka kumfananisha na Yesu????????? Khaaaaa yaani wewe jamaa wa ajabu sana unamfananisha Messi na Ngasa?! Yesu ni world ICON huwezi kumfananisha na mtu wa kawaida mkuu..............

Hapo kwenye red, afadhali wewe MOHAMMED unalijua hilo
 
Mkuu hapa mwenye kuponya ni MUNGU na si Paulo. Nguvu iliyokuwa ndani ya Paulo ni nguvu ya MUNGU inayoweza kuwa ndani ya mtumishi mwingine yeyote leo akijitoa kumtumikia kisawasawa. Nguvu hiyo yaweza kuwekwa kwenye vitambaa kwa kuombewa na kupelekwa kwa wagonjwa na wakapokea uponyaji.

I wish hatubishani...kama ndivyo basi neno la Mungu lina sema God is not a respector of person na kila moyo uliotayari unapokea nguvu ya Mungu. Niliposema power was in Paul nilimaanisha holly spirit power worketh through Paul....Sasa ndiyo maana Yesu alipopaa aliwakataza mitume wasitoke kule Jerusalem mpaka watakapo pokea nguvu and that day when Holly spirit came in form of flame of fire ndipo walipopokea hiyo Nguvu ambayo ni ahadi yake kuwa atatupa msaidizi and thats when christianity officially began...Christianity never began before the ascetion of Jesus even the twelve desciples were not christians...Christianity is not a religion its the power of God in man the newly created being to the image of God Himself...Whoever believeth in heart and confeseth with thy mouth receives that power regardless of race, tribe, colour or form...

Sasa kinachofanya gospel isiendelee ni selfishness which works against God's mission of salvation to all nations. Ministers, labled christians and those claim to be preachers preach churches and some religions and never the gospel of Salvation thats why unaona mabishano mashindano amongst churches, pastors and priests..Kila mtu akijitahidi kuvuta wateja kwa kutumia kila ujanja na mbinu zingine zikiwa pure superstitions. Lakini Yesu alituambia kwa matunda yao mtawatambua....Je ugomvi, fitina, Mabishano na husuda ni matunda ya roho mtakatifu?

Hata kwenye issue ya babu wa Loliondo I could not expect hearing pastors acusing what they dont know, blessed are they if they do for the sake of souls salvation but woe unto them if only is because of fear to loose their fame and wateja wa sundays who if they could have taught them and be rooted to the word of God would not have been running here and there searching for a help! It means their gospel is not that of Jesus hope for glory. If it would be then why are these issues not handled by them na bado wana hiyo nguvu? Je bado hiyo nguvu ipo nao au wamesahau ku fellowship na mwenye nguvu nakuigeukia dini kama ilivyo kwa wale mafarisayo ambao walihubiri sheria huku wao wakishindwa kuifuata hata moja kati ya hizo walizo hubiri?

Jesus asked a question before He ascended ..."Mwanawadamu aenda zake na nitakapo rudi je nitaikuta IMANI?" Nami na uliza bado tuna imani? Imani bila matendo imekufa, kama ilivyo chumvi ikikosa ladha haifai bali kutupwa..Kama watu ni wagonjwa wa roho na mwili iwapi imani iwezayo kuondoa hayo yote na kumfanya maskini kuwa tajiri, mgonjwa kupata afya na mnyonge kuwa na nguvu?
 
.
Naunga mkono hoja.
Ila katika kitabu cha biblia tunachokiamini kuna aya inawataka wanawake wenye kuukiri uchaji wafunikwe kwa mavazi ya kusitiri (dicent).
Avatar yako inaunga mkono ushauri huo
?

hapo kwenye bold, naona ni off topic mpendwa, tujadili mada iliyo mezani please
 
Nafikiri aunt Judy uko vizuri sana kwenye dini!!!!!!!!!Lakin usiwe kama tomaso alitaka lazima aone makovu ndoa amin kuwa huyu ni bwana yesu...hii ni iman bwana ningumu kumbadilisha mtu.Na ukitaka kujua kuwa iman ni habari ingine ongea na mtu alieenda Loliondo na akashuhudia alichokipata
 
Judy, kwanza nianze kwa kusema unafanya vema kuuliza maswali kwa mtazamo wa kitheologia kwa sababu kuuliza maswali hakumaanishi mtu hana imani, ila kama una mashaka na jambo analofanya Mungu kupitia Mchungaji Masapila katika kijiji kidogo cha Samunge hilo ni jambo lingine na unahitaji Mungu akufunulie kwani mambo haya ya imani hufahamika kwa imani. Theologia kama neno lenyewe lilivyo ni muunganiko wa maneno mawili "theos" lenye maana ya Mungu kwa lugha ya Kiyunani na "logia' lenye maana ya elimu. Muungano wa maneno haya mawili ndiyo yanayotupa neno theologia lenye maana kwa kifupi “elimu kuhusu Mungu.” Kwa mantiki hiyo, si vibaya kuuliza maswali kwa sababu kuwa mkristo hakumaanishi kuamini bila kuuliza maswali yanayohusu Mungu na imani kwa ujumla kwa sababu maswali husaidia sana katika kuimarisha imani kama yanaulizwa katika msingi wa kuimarisha imani ya mtu.

Hata hivyo, inawezekana kuuliza maswali na tusipate majibu yanayotosheleza utafiti wetu ama kuridhisha akili na ufahamu wetu wa kibinadamu. Hii inatokana na ukomo (limitation) wa uwezo wa ufahamu wa kibinadamu. Judy, naamini utakubaliana nami kwamba binadamu, hata mwenye akili nyingi sana ana ukomo wa ufahamu wake. Hawezi kuelewa kila kila kitu hata mambo ya kawaida sembuse ya Mungu ambayo pasipo ufunuo wa Roho Mtakatifu ni vigumu sana kuyaelewa.

Kwa kuwa wewe ni mtheologia kwani umejitambulisha hivyo, bila shaka unafahamu kwamba Mungu amekuwa akitenda miujiza akiwatumia watu tofauti tofauti kwa nyakati tofauti na kizazi tofauti kulingana na mahitaji yao. Nionavyo mimi suala la msingi hapa siyo jinsi Mungu anavyofanya miujiza ama anamtumia nani na ni wapi ila ni yale anayofanya Mungu kupitia mtu anayemchagua. Suala lingine ni je ishara hizo zinathibitishwa kwa Neno la Mungu (Biblia) na zaidi sana ni nani anayepewa sifa, utukufu, enzi na heshima? Kwa maneno mengine, je anayetumiwa anawaongoza watu wamwone Mungu aliyemkabidhi huduma yenyewe ama anajiinua yeye mwenyewe na kujitwalia sifa? Haya pamoja na mambo mengine ambayo sitaweza kuyasema hapa yana umuhimu mkubwa katika kuchunguza huduma ama unabii uwao wote.

Ni vema pia tujihadhari sana tunapozungumza habari za Mungu kwani akili zetu za kibinadamu hazitoshi kuyafahamu mambo haya kikamilifu. Ningeshauri kwamba tuzungumze na Mungu kwa njia ya sala ili atufunulie ukweli juu ya mambo tunayoyaona na kuyasikia kama yanatokana naye ama ni unabii wa uwongo. Kufanya hivyo ni muhimu ili tusijetukagombana na Mungu. Mwisho kwa sasa ningesema kama alivyosema Gamalieli aliyekuwa Rabi aliyeheshimika na jamii ya Kiyahudi, kama kazi hii inayofanyika Samunge ni ya Mungu itasimama la kama si ya Mungu siku si nyingi itapotea na kama dawa ni sumu Mungu anao uwezo wa kuigeuza iwe chakula maana imeandikwa "mtawakanyaga nyoka na nge na nguvu za yule Ibilisi, hata mkinywa kitu cha kufisha hakitawadhuru, mtaweka mikono juu ya wagonjwa nao watapokea afya." Mungu akubariki katika kuyatafakari hayo na ingia kwenye maombi.
 
Judy, kwanza nianze kwa kusema unafanya vema kuuliza maswali kwa mtazamo wa kitheologia kwa sababu kuuliza maswali hakumaanishi mtu hana imani, ila kama una mashaka na jambo analofanya Mungu kupitia Mchungaji Masapila katika kijiji kidogo cha Samunge hilo ni jambo lingine na unahitaji Mungu akufunulie kwani mambo haya ya imani hufahamika kwa imani. Theologia kama neno lenyewe lilivyo ni muunganiko wa maneno mawili "theos" lenye maana ya Mungu kwa lugha ya Kiyunani na "logia' lenye maana ya elimu. Muungano wa maneno haya mawili ndiyo yanayotupa neno theologia lenye maana kwa kifupi "elimu kuhusu Mungu." Kwa mantiki hiyo, si vibaya kuuliza maswali kwa sababu kuwa mkristo hakumaanishi kuamini bila kuuliza maswali yanayohusu Mungu na imani kwa ujumla kwa sababu maswali husaidia sana katika kuimarisha imani kama yanaulizwa katika msingi wa kuimarisha imani ya mtu.

Hata hivyo, inawezekana kuuliza maswali na tusipate majibu yanayotosheleza utafiti wetu ama kuridhisha akili na ufahamu wetu wa kibinadamu. Hii inatokana na ukomo (limitation) wa uwezo wa ufahamu wa kibinadamu. Judy, naamini utakubaliana nami kwamba binadamu, hata mwenye akili nyingi sana ana ukomo wa ufahamu wake. Hawezi kuelewa kila kila kitu hata mambo ya kawaida sembuse ya Mungu ambayo pasipo ufunuo wa Roho Mtakatifu ni vigumu sana kuyaelewa.

Kwa kuwa wewe ni mtheologia kwani umejitambulisha hivyo, bila shaka unafahamu kwamba Mungu amekuwa akitenda miujiza akiwatumia watu tofauti tofauti kwa nyakati tofauti na kizazi tofauti kulingana na mahitaji yao. Nionavyo mimi suala la msingi hapa siyo jinsi Mungu anavyofanya miujiza ama anamtumia nani na ni wapi ila ni yale anayofanya Mungu kupitia mtu anayemchagua. Suala lingine ni je ishara hizo zinathibitishwa kwa Neno la Mungu (Biblia) na zaidi sana ni nani anayepewa sifa, utukufu, enzi na heshima? Kwa maneno mengine, je anayetumiwa anawaongoza watu wamwone Mungu aliyemkabidhi huduma yenyewe ama anajiinua yeye mwenyewe na kujitwalia sifa? Haya pamoja na mambo mengine ambayo sitaweza kuyasema hapa yana umuhimu mkubwa katika kuchunguza huduma ama unabii uwao wote.

Ni vema pia tujihadhari sana tunapozungumza habari za Mungu kwani akili zetu za kibinadamu hazitoshi kuyafahamu mambo haya kikamilifu. Ningeshauri kwamba tuzungumze na Mungu kwa njia ya sala ili atufunulie ukweli juu ya mambo tunayoyaona na kuyasikia kama yanatokana naye ama ni unabii wa uwongo. Kufanya hivyo ni muhimu ili tusijetukagombana na Mungu. Mwisho kwa sasa ningesema kama alivyosema Gamalieli aliyekuwa Rabi aliyeheshimika na jamii ya Kiyahudi, kama kazi hii inayofanyika Samunge ni ya Mungu itasimama la kama si ya Mungu siku si nyingi itapotea na kama dawa ni sumu Mungu anao uwezo wa kuigeuza iwe chakula maana imeandikwa "mtawakanyaga nyoka na nge na nguvu za yule Ibilisi, hata mkinywa kitu cha kufisha hakitawadhuru, mtaweka mikono juu ya wagonjwa nao watapokea afya." Mungu akubariki katika kuyatafakari hayo na ingia kwenye maombi.

nimekusoma taratibu sana na nimekuelewa vizuri sana mpendwa. nakubaliana pia na wito wako wa kuzidisha sala ili Mungu atujalie kufumbua fumbo hili la mch. mwasapile wa kijijini samunge.

ninalo neno dogo tu la kuongeza hapo hasa pale nilipoweka bold. ni kwamba, wakristo tumepewa neno kama ufunuo kamili wa Mungu, hivyo mbali na sala, tusome neno la Mungu, humo pana ufunuo kamilifu juu ya Mungu, tabia zake na makusudi yake kwa mwanadamu. kwa hiyo tukilijua neno la Mungu vizuri (kweli) hilo neno (hiyo kweli) litatuweka huru, na Mwana (Neno) wa Mungu akituweka huru, tutakuwa huru kwelikweli.

kumbuka ndani ya neno si tu kuna ufunuo, bali pia kuna ushindi dhidi ya majaribu ya shetani na nguvu za giza. Yesu alimshinda ibilisi kwa neno la Mungu, so theolojia kwa kulenga elimu ya Neno (Yesu) la Mungu, is much more powerful than dreams (such as Mwasapile's). we dont need dreams in these days, after becoming Christians, we need to know the truth (the word) and grow in the knowledge and admonition of the Lord. our worship is not in tangible and perishable things (materials), but in spirit and truth.

THE WORD OF GOD (JESUS) IS THE TRUTH.

ubarikiwe sana mpendwa

Glory to God
 
PHP:
binafsi nashindwa kuiita karama, uwezo wa Mungu hauna mipaka ya mahali wala wakati. hainiingii akilini kwamba mti huo ukichemshwa mahali pengine nje ya kiiji cha samunge, hauponyi na babu akikuombea bila kukupa kikombe chake kwa mkono wake huponi!

Mbona huulizi kwanini yesu alipokuwa anaponya watu mfano alipokuwa anamponya yule kipofu alichukua mate akachanganga na udongo akapaka machoni pa yule jamaa na akaona. Mbona asimwambie ona tu na akaona. Au mbona Yesu alipokuwa harusini mjini kana aliwaambia watu wajaze maji yale mapipa, mbona huulizi asingeeamuru tu mapipa yajae divai? So hili ni swala la imani and the way it is executed sioni shida, it depends Mungu anataka adhihirike vipi na wapi na kwa namna gani. So kwa kuwa ni swala la imani then sioni sababu ya kuhoji mashart ya Babu...

Umemaliza lililokuwa kwangu. Icon ya thenks siioni ningekupa.
 
kumbe huwa tunawalaumu baadhi ya wasilamu kuwa wanarukia kunukuu mstari mmoja wa Biblia na kung'ang'ana nao bila kujua maana yake na wakati huohuo tuna wakristo chungu mzima wasio na uelewa wowote wa maandiko! watumishi wa Mungu ongezeni bidii na kazi ya Bwana, mavuno ni mengi ila watenda kazi ni wachache

Glory to God
 
thanks my dear. ubarikiwe sana.

mi hoja yangu ni kuwataka wote tuwe na kawaida ya kutafakari na kujaribu (ku-test) kila kinachoitwa revelation. kupokea tu ndoto au ufunuo eti kwa kuwa imekuja "kupitia mchungaji" ni kukubali bila sababu yoyote kuwa we are not resposible Christians. hao wanaonishambulia eti nampinga au namhoji Roho Mtakatifu na kunukuu mafungu tele tele ya biblia, wamerukia tu kuhitimisha kuwa "......hiyo ni kazi ya Roho Mtakatifu" bila kui-test! na hii ni hatari kwani siku moja hata shetani ataleta ndoto (na amekwishaleta nyingi sana) na watu watajazana kwake na hatimaye kuangamia pamoja naye kwa kukosa maarifa.

kumbukeni kuwa imani ya kikristo ni tofauti na imani nyingine. hii inaanzia kwenye (brain) rationality na kukua kuelekea spirituality na si kinyume chake. wote wanaokimbilia kusema kuwa "masuala ya imani magumu kueleweka" au "Roho Mtakatifu ana namna nyingi za kutenda kazi na ni ngumu kuzielewa kwa akili zetu" nk wanakimbia wajibu wao. wanajaribu kutuaminisha kuwa imani ya kikristo huanzia kwenye spirituality kushuka chini kwenye brain (rationality), na hivyo haiwezekani kuzielewa basis za imani!. ni uongo mkubwa sana huu na ni silaha ya ibilisi ili watu waangamie kwa kukataa kwa makusudi kutafuta maarifa.

ufunuo wowote unaokuja nje ya neno la Mungu haupaswi kupita bila kuhojiwa. Roho Mtakatifu si lazima adhihirishwe kwa miujiza. Mungu hujishughulisha na kuponya roho na si kuponya Mwili. hata pale mwili unapopona ni kwa sababiu roho imepona na hivyo uponyaji wa rohoni umepelekea uponyaji wa mwili. uponyaji wowote uanziao kwenye mwili bila kuzingatia uponyaji wa roho, ni wa kuhojiwa.

neno la Mungu ni kamili na halihitaji miujiza ili liwe kamili au lipate nguvu. kama maelfu ya watu wamiminikao loliondo leo wamekuwa wakisikia injili kila siku wasiamini, ila leo wakasema wanaamini kwa sababu wameona ishara ya dawa ya ajabu, basi hilo haliwezi kupita bila kuhojiwa na wenye kuamini neno la kweli. pia haijathibitika kuwa wote wanywao ule mti humrudia Mungu kwa toba bali inajulikana kuwa kila anywaye hujiondokea zake na habari kuishia hapo. Mungu ninayemfahamu hana tabia hiyo.

neno la Mungu liiko wazi, alikuja kuokoa na kutafuta kilichopotea, na ndio maana hata wakati wa Yesu ama Elisha (kama wengi walivyotoa mifano ya Naamani mshamu aliyeponywa ukoma na wengine walioponywa) si kila aliyekuwa na ukoma laiponywa! tafakarini sana hapo ndugu zangu.

Yesu mwenyewe alituonya mara nyingi sana tusiwe vipofu na kutahadharisha kuwa kipofu akimongoza kipofu mwenzie, wote watatumbukia shimoni. kwa msingi huuu, ni wajibu wa mkristo kuzijaribu kila roho ili kuona kuwa zimetokana na Mungu.

mwenye kuweza kutafakari na atafakari. mimi nimetimiza wajibu wangu

Glory to God

Umenena vema mkuu. Nadhani tuache kupiga mayowe si muda mrefu tutayaona wenyewe(ushuhuda). Miujiza ya Mungu wa Ibrahim,Isaka na Yakobo huwa haiji kwa kifichokificho na haihitaji marketing wala propaganda. It is just a matter of time when waliopona kweli tutawaona na kama hawajapona tutawajua!
 
Dada Judith,
Mambo ya MUNGU hayapimwi kwa theolojia hata kidogo bali kwa ROHO MTAKATIFU. Tunahitaji kukaa sana katika uwepo wa MUNGU maishani mwetu ili ROHO MTAKATIFU atufunulie ni kipi cha kweli na kipi si cha kweli vinginevyo twaweza kujikuta tukataa huduma ya MUNGU au kukubali huduma isiyotokana na MUNGU. Kuhusu suala la vitambaa yaweza ikawa si MUNGU kama mtumishi mwenyewe hayuko na MUNGU na inaweza ikawa ni MUNGU kama mtumishi mhusika yuko na MUNGU vizuri maana tunaona hata enzi za mtumishi wa MUNGU Paulo watu waliponywa kwa vitambaa.


Acts 19 (Amplified Bible)


11And God did unusual and extraordinary miracles by the hands of Paul,

12So that handkerchiefs or towels or aprons which had touched his skin were carried away and put upon the sick, and their diseases left them and the evil spirits came out of them

Wakatoliki wanapotumia vitu mbalimbali(physical things)kwenye ibada zao walokole wanawasema sana. Jamani mbona tunaitumia biblia kuhalalisha mambo yenye interest kwetu tu?.
 
Judith, I think you need to remember that God the Father of our Lord Jesus Christ is an unlimited God. I agree with you that every prophecy and everything we do must be proved by the Scriptures (Bible) for it is in Scripture the whole revelation of God is revealed. However, God is unlimited and dreams have been one of the ways that God revealed to His people and this God has never changed. He is the same God who was who is and ever shall be. Kwa hiyo Mungu anaweza kujifunua hata leo kwa njia apendayo na mara nyingi hujifunua kwa watu wasiokuwa na umaarufu kama Mch. Masapila ambaye watu wengi wanakuwa na mashaka juu ya huduma anayoifanya. In healing foe example, Jesus himself use different ways to heal the sick his word (speech) being the first way. But He also used different means. In healing the blind man He used the soil by making mud and applied to the eyes of the blind man and he was able to see or in other words his sight was restored. In other occassions He only touched the sick and their health was restored immediately. Another example is that of a woman who suffered from bleeding for more than a decade who said in her heart if I go and touch His garment I will get well. She did and indeed her health was resotred. Healing took place even before the earthly ministry of Jesus at Siloam etc. So you see this is a God who is unlimited by our understanding of who He really is. Therefore, let us not limit God by our meager understanding of Scripture because God is above our human understanding. I agree with you on having the knowledge of Scripture but don't forget that God also speaks to us when we pray and that is why prayer for a Christian is mandatory. Prayer is a special way through which we hear God and God listens to us. So, my dear sister do not undermine the role of prayer in your Christian life. So, my sister in Christ I beseech you in the name of Jesus to pray for it is in this way, along with the understanding of Scriptures that we can understand the things that are God's and the things that are not of God. I wish you God's peace which surpasses all understanding as you continue on with your spiritual journey.
 
Judith, I think you need to remember that God the Father of our Lord Jesus Christ is an unlimited God. I agree with you that every prophecy and everything we do must be proved by the Scriptures (Bible) for it is in Scripture the whole revelation of God is revealed. However, God is unlimited and dreams have been one of the ways that God revealed to His people and this God has never changed. He is the same God who was who is and ever shall be. Kwa hiyo Mungu anaweza kujifunua hata leo kwa njia apendayo na mara nyingi hujifunua kwa watu wasiokuwa na umaarufu kama Mch. Masapila ambaye watu wengi wanakuwa na mashaka juu ya huduma anayoifanya. In healing foe example, Jesus himself use different ways to heal the sick his word (speech) being the first way. But He also used different means. In healing the blind man He used the soil by making mud and applied to the eyes of the blind man and he was able to see or in other words his sight was restored. In other occassions He only touched the sick and their health was restored immediately. Another example is that of a woman who suffered from bleeding for more than a decade who said in her heart if I go and touch His garment I will get well. She did and indeed her health was resotred. Healing took place even before the earthly ministry of Jesus at Siloam etc. So you see this is a God who is unlimited by our understanding of who He really is. Therefore, let us not limit God by our meager understanding of Scripture because God is above our human understanding. I agree with you on having the knowledge of Scripture but don't forget that God also speaks to us when we pray and that is why prayer for a Christian is mandatory. Prayer is a special way through which we hear God and God listens to us. So, my dear sister do not undermine the role of prayer in your Christian life. So, my sister in Christ I beseech you in the name of Jesus to pray for it is in this way, along with the understanding of Scriptures that we can understand the things that are God's and the things that are not of God. I wish you God's peace which surpasses all understanding as you continue on with your spiritual journey.

nakushukuru ndugu yangu kwa kunielewa.

Yoh 15 imeanza na mfano alioutoa Yesu wa Mzabibu , matawi yake na mkulima kuonyesha mambo kadhaa ya kimahusiano kati yetu, Mungu Baba na na Yeye mwenyewe. aliumalizia mfano ule kwa kukazia kwamba "NINYI MKIKAA NDANI YANGU NA MANENO YANGU YAKIKAA NDANI YENU, OMBENI LOLOTE NANYI MTATENDEWA....."

Kwa maana hiyo, kuomba kwetu ni lazima tuwe na maneno yake ndani yetu kwanza, yaani kwa maneno mengine, sala zetu na maombi yetu ni bure kama tutakuwa tunakesha kuomba na kusali bila kuyajua maneno yake ambayo ni kweli iwekayo huru. so kujibiwa maombi ni conditional, yaani it is conditioned upon having the word of Christ in us!

pamoja na ukweli kuwa hekima ya Mungu surpases all our undeerstanding, bado we can undersatnd Him and his plan to the extent of His revelation through the scriptures. he revealed Himself to us so that we can be the sons and doughters of the light. His word gives us sight so that we no longer move and live on earth as blinds, but as people acquaited with all understanding and wisdom to his own glory.

naamini tuko pamoja

Glory to God
 
PHP:
binafsi nashindwa kuiita karama, uwezo wa Mungu hauna mipaka ya mahali wala wakati. hainiingii akilini kwamba mti huo ukichemshwa mahali pengine nje ya kiiji cha samunge, hauponyi na babu akikuombea bila kukupa kikombe chake kwa mkono wake huponi!

Mbona huulizi kwanini yesu alipokuwa anaponya watu mfano alipokuwa anamponya yule kipofu alichukua mate akachanganga na udongo akapaka machoni pa yule jamaa na akaona. Mbona asimwambie ona tu na akaona. Au mbona Yesu alipokuwa harusini mjini kana aliwaambia watu wajaze maji yale mapipa, mbona huulizi asingeeamuru tu mapipa yajae divai? So hili ni swala la imani and the way it is executed sioni shida, it depends Mungu anataka adhihirike vipi na wapi na kwa namna gani. So kwa kuwa ni swala la imani then sioni sababu ya kuhoji mashart ya Babu...

Need we say more! Big UP Mkuu!
 
Umenena vema mkuu. Nadhani tuache kupiga mayowe si muda mrefu tutayaona wenyewe(ushuhuda). Miujiza ya Mungu wa Ibrahim,Isaka na Yakobo huwa haiji kwa kifichokificho na haihitaji marketing wala propaganda. It is just a matter of time when waliopona kweli tutawaona na kama hawajapona tutawajua!

Babu ameweka 'caveat' kabisa kuwa ni wale 'wenye imani tu na huduma yake' ndio wataweza kupona. Already kuna watu kadhaaa (wenye imani na huduma yake) wameshuhudia 'kupona' yaliyokuwa yakiwasibu. So, inaweza kubakia kuwa paradox for some time...labda itokee bahati mbaya hiyo dawa ikawa na side effects na walioitumia wakaanza kupata madhara!

Kwenye sakata zima hili kumekuwa na mkanganyiko mkubwa na serikali imeshndwa kutimiza wajibu wake (kwa maoni yangu) kwa kutaka kuendekeza cheap popularity!
 
Samahani sana mkuu yaani "babu" unataka kumfananisha na Yesu????????? Khaaaaa yaani wewe jamaa wa ajabu sana unamfananisha Messi na Ngasa?! Yesu ni world ICON huwezi kumfananisha na mtu wa kawaida mkuu..............

Siyo kumfananisha na Yesu ila imani ya wakristo imefungwa katika uweza wa yesu na ni kwa kulitamka jina lake kwa imani tunaweza kutumia nguvu zake ipasavyo. huyu Mchungaji naye anatumia nguvu hiyo ya Yesu kwa style nyingine siyo kwamba yeye ni Yesu ila yesu kwetu sisi ndo benchmark ya kila kitu ktk Imani yetu.
 
kumbe huwa tunawalaumu baadhi ya wasilamu kuwa wanarukia kunukuu mstari mmoja wa Biblia na kung'ang'ana nao bila kujua maana yake na wakati huohuo tuna wakristo chungu mzima wasio na uelewa wowote wa maandiko! watumishi wa Mungu ongezeni bidii na kazi ya Bwana, mavuno ni mengi ila watenda kazi ni wachache

Glory to God

Miss Judith, usiongee kama vile kati ya wooote waliochangia hapa ni wewe tu ulie na ujuzi wa kuielewa Biblia vizuri, utakuwa unakosea sana. Biblia ni mjadala wa miaka na miaka na wakati mwingine imesababisha kuwa na makanisa/dhehebu mengi yote ikiwa ni utata wa jinsi ya kuielewa hiyo Biblia. Hivyo kama umeileta hii mada kwa ajili ya watu kuchangia ili kuendelea kujua nini Biblia/imani inataka, hapo kwa mtazamo wangu itakuwa vema. Hata mimi nimeelimika na michango iliyotolewa hapa, na kwa sasa naweza sema "Biblia ni kitabu chenye majibu mengi, yapasa huyo Roho Mt. atusaidie"
 
jana nilikuwa naangalia EMMANUEL TV ya TB JOSHUA kwa wale wanaofuatilia yeye anaponya kwa ktumia maji yanaitwa anointed water ssa hivi kaleta mpya ipo kwenye chupa ndogo saana km zile za rangi ya kucha. sasa alichosema ni kuwa ile chupa alibidi iwe tupu lkn alimwomba mungu aweke maji kwa vile kizazi hiki kisicho na imani wala matumaini itakuwa vigumu kuamini so mle ndani kuna maji na yana nguvu ya ajabu. hapa nataka kuwaambia wale wasio na imani kwamba babu anaponya kwa kile kikombe na mizizi ile ikishabarikiwa inakuwa na nguvu ya ROHO MTAKATIFU wewe binadanu wa kawaida unaona maji ya kawaida lkn ROHO MTAKATIFU anakuwepo pale kukupa wewe uponyaji

Mimi naona kama imani ya uponyaji kwa babu inawekwa kwenye kikombe zaidi kuliko Roho Mtakatifu kitu ambacho si sahihi. Hii inanitatiza sana.
The new testament asks us to question the spirits in operation. All miracles performed after redemption were through the name of Jesus which is the power above all in heavens and on earth. Its important to note that during Jesus time so was during prophets and priests before He came used media to perform miracles because the holly spirit was not yet released into the world. Alikuwa anavuvia watu au vitu na hivyo kusababisha miracle kutokea; lakini sasa yupo available in whoever believeth in the above all name Jesus. Hahitaji tena hizo media for our bodies are His temple and he uses our body organs to perform miracles. Bali katika yote bado nguvu na uweza una yeye Mungu wetu; kama la toka kwa Ibilisi halitadumu na itaonekana wazi lakini kama ni la Mungu basi If God say yes who can be against?

Amen
Hapo kwenye blue ndo msisitizo the power was in Paul na siyo handkerchiefs...Hata kunasehemu kivuli chake kilipomgusa mtu alipata uponyaji...Nasisitiza roho matakatifu yupo ndani yetu sasa hivi kama alivyokuwa kwa Yesu so its not about media its about the power that worketh in us...ndiyo maana nashindwa kum qualify mchungaji/babu au kum disqualify maana anasema dawa lazima akupe kwa mkono wake which means the power is inside him...Lakini pia a devil can do miracles in the same maner ndiyo maana lazima tuipe muda ili kweli ijidhirishe huku tukiendelea kuomba..Kitu kingine ni kuwa ili uwe muujiza wakimungu lazima uthibitishwe na vitu vitatu so far Babu peke yake ndiyo mwenye revelation why? Hii ni kanuni ya Mungu kwamba ushuhuda wa watu watatu ndiyo kamili...Time will tell.

Ubarikiwe ndugu yaani hapo uliposena ni kweli kabisa.
pamoja na ukweli kuwa hekima ya Mungu surpases all our undeerstanding, bado we can undersatnd Him and his plan to the extent of His revelation through the scriptures. he revealed Himself to us so that we can be the sons and doughters of the light. His word gives us sight so that we no longer move and live on earth as blinds, but as people acquaited with all understanding and wisdom to his own glory.

Glory to God
Kinacho nitatiza mimi ni kwanini babu hataki Jina la Yesu litukuzwe? Naamini tunatakiwa kulikiri jina lake na kumtukuza yeye kwa mema aliyotutendea.
kwa mujibu wa BBC, mch. mwasapile alisema si maji yale yanayoponyesha bali ni maombi. sasa mi najiuliza iweje neema ya Mungu ya uponyaji ijifungamanishe na maji kiasi kile? tena kiasi cha kwamba bila hayo maji neema hiyo haifanyi kazi?
Hicho ni kitu kingine kinacho nitatiza kwasababu tulipewa Roho Mtakatifu ili atusaidie tunachotakiwa ni kuliita jina lake wakati wowote kwa imani naye atatenda kwasababu yeye ni mwaminifu.

Unarikiwe Miss Judith kwa kuleta mada hii.
 
Mimi naona kama imani ya uponyaji kwa babu inawekwa kwenye kikombe zaidi kuliko Roho Mtakatifu kitu ambacho si sahihi. Hii inanitatiza sana.


Amen

Ubarikiwe ndugu yaani hapo uliposena ni kweli kabisa. Kinacho nitatiza mimi ni kwanini babu hataki Jina la Yesu litukuzwe? Naamini tunatakiwa kulikiri jina lake na kumtukuza yeye kwa mema aliyotutendea. Hicho ni kitu kingine kinacho nitatiza kwasababu tulipewa Roho Mtakatifu ili atusaidie tunachotakiwa ni kuliita jina lake wakati wowote kwa imani naye atatenda kwasababu yeye ni mwaminifu.

Unarikiwe Miss Judith kwa kuleta mada hii.

asante sana mpendwa chamoto. picha inayokuja kwa haraka hapa ni kuwa wakristo tunapaswa kujua nini mapenzi ya Mungu katika maisha yetu na namna mapenzi hayo yanavyotimizwa kupitia baraka za Neno la msalaba. vinginevyo tutakuwa tunamsingizia Roho Mtakatifu kuhusika na kila kitu tusichokielewa au tunachokiendekeza kwa kushindwa kwetu kutafakari vyema juu ya wokovu wetu.

wengi wamekurupuka kuamini kuwa kwa kuwa tiba ya loliondo imeleta faraja kwa waliokuwa wakiteseka na magonjwa, basi imetoka kwa Mungu bila hata kuijaribu hiyo roho ya ufunuo kama inatokana na Mungu. kwamba ufunuo (ndoto) imekuja kupitia mchungaji mstaafu hakutoi uthibitisho wa moja kwa moja kuwa ndoto ile ilitoka kwa Mungu. hata shetani kishatumia watu wengi wanaojiita wachungaji/maaskofu kufanya kazi zake na wengine tunawajua. hivyo ni muhimu tukazijaribu hizi roho kabla ya kuzitukuza na kujishirikisha nazo. na njia pekee ya kuzijaribu ni kutumia maneno ya Mungu.

kama tiba hii au nyingine yoyote iliyokwishatokea na itakayotokea duniani haiko consistent na maneno ya Mungu, mimi katu sitajishirikisha nayo wala kuitukuza hata ningekuwa nimesongwa na shida na maradhi ya namna gani. nitamtukuza Mungu wangu siku zote, iwe katika magonjwa, afya, tabu, misiba, katika kunenwa vyema na kunennwa vibaya nk, ili utumishi wangu usije ukalaumiwa siku ya kuja kwake (2 Corinthians 4-10). amina

kwa kweli ingekuwa makosa sana kuliacha jambo hili likapita hivihivi tu bila kulihoji eti kwa sababu tu limeshabikiwa na wengi.

ubarikiwe sana mpendwa, tuendelee na mjadala

Glory to God
 
asante sana mpendwa chamoto. picha inayokuja kwa haraka hapa ni kuwa wakristo tunapaswa kujua nini mapenzi ya Mungu katika maisha yetu na namna mapenzi hayo yanavyotimizwa kupitia baraka za Neno la msalaba. vinginevyo tutakuwa tunamsingizia Roho Mtakatifu kuhusika na kila kitu tusichokielewa au tunachokiendekeza kwa kushindwa kwetu kutafakari vyema juu ya wokovu wetu.

wengi wamekurupuka kuamini kuwa kwa kuwa tiba ya loliondo imeleta faraja kwa waliokuwa wakiteseka na magonjwa, basi imetoka kwa Mungu bila hata kuijaribu hiyo roho ya ufunuo kama inatokana na Mungu. kwamba ufunuo (ndoto) imekuja kupitia mchungaji mstaafu hakutoi uthibitisho wa moja kwa moja kuwa ndoto ile ilitoka kwa Mungu. hata shetani kishatumia watu wengi wanaojiita wachungaji/maaskofu kufanya kazi zake na wengine tunawajua. hivyo ni muhimu tukazijaribu hizi roho kabla ya kuzitukuza na kujishirikisha nazo. na njia pekee ya kuzijaribu ni kutumia maneno ya Mungu.

kama tiba hii au nyingine yoyote iliyokwishatokea na itakayotokea duniani haiko consistent na maneno ya Mungu, mimi katu sitajishirikisha nayo wala kuitukuza hata ningekuwa nimesongwa na shida na maradhi ya namna gani. nitamtukuza Mungu wangu siku zote, iwe katika magonjwa, afya, tabu, misiba, katika kunenwa vyema na kunennwa vibaya nk, ili utumishi wangu usije ukalaumiwa siku ya kuja kwake (2 Corinthians 4-10). amina

kwa kweli ingekuwa makosa sana kuliacha jambo hili likapita hivihivi tu bila kulihoji eti kwa sababu tu limeshabikiwa na wengi.

ubarikiwe sana mpendwa, tuendelee na mjadala

Glory to God

Miss Judith inabidi tuwafundishe hawa ndugu zetu kwa upendo na uvimilivu mkubwa kwani naona hatari ya kupotea njia na kutekwa na shetani kama vile mama yetu Eva alivyotekwa na enticing words of the satan na ku handle in devils hands the mighty power given to the man by God kwa condition ya utii. Waliamua kumtii shetani na kudharau maagizo ya Mungu, still todate we practice the same sin.

Its very clear kwamba God declared I am (Jesus) The TRUTH, WAY and the LIFE. Akaongeza nobody comes to the father except through me, akaendelea kusema yaja roho ya mpinga kristo akai describe hiyo roho characteristic yake ni kuwa kila roho isiyo kiri kuwa Yesu alikuja katika mfano wa mwandamu, akafa, akazikwa na siku ya tatu akafufuka kisha akapaa mbinguni kwa baba na kuwa atarudi tena kuwachukua walio wake. Akasema nitawa letea msaidizi atakaye kuwa pamoja nasi mpaka atakapo rudi. Hii ni foundation ya imani.

Ndugu zetu wanaoitwa wakristo bado hawazingatii hayo maagizo. Wanatenda dhambi ile ile ya kukosa utii. Hawataki kuamini kuwa imani huja kwa kusikia, na kusikia huja kwa neno la Mungu. Hawataki kusoma/meditate kwenye neno la Mungu ili wapate imani na kupitia Imani wapate ufunuo wa roho mtakatifu ambapo watasikia neno la wokovu ambao utawapa fursa ya kuwa viumbe wapya (Born of spirit). Wanapenda mazoea na kupata masses comfort a kind of mob psychology. Wengi hawana nguvu ya Mungu (Roho matakatifu) ndani yao na hivyo hawajui kuwa siyo wakristo maana neno liko clear kwamba asiye ndani yangu wala mimi simjui. Kwasababu hawana huyo roho basi are sweeped by any voice coming to them kwasababu walio wa kristo waijua sauti yake. Kama miracle ingekuwa kigezo cha utakatifu ama alama kuwa wewe huna dhambi basi wanawaisrael wasinge weza kumgeuka mungu huko jangwani nakuanza kuabudu sanamu. Maana hakuna miracle kama kula mana, kware, kuongozwa na nguzo ya moto usiku na wingu mchana. Kama miracle ingekuwa sign basi wale wachawi wa misri wasingeweza kugeuza fimbo zao kuwa nyoka kama alivyofanya Musa.

Tutafakari kidogo hao nyoka...ina maana kwamba devil anaweza ku mimic a God kind of miracle ila miracle ya Mungu lazima iwe high class na i demostrate power kwamba hata kama wachawi waliweza lakini nyoka wa Musa aliwameza majoka yote ya wachawi na bado akabakia katika the same size and form..kwamba God is the same and all creation is contained in him. Sasa huyo Babu anafanya miracle kwa kikombe cha dawa lakini hiyo miracle imeshindwa kulinda watu wote walioenda huko kwa imani ndiyo maana wengine walikufa kabla ya kupata huduma...hapo Mungu unamwona wapi? the power of God can not be limited kwenye Kikombe na babu tu..Inamaana babu kwa Imani angeweza kudeclare kwamba anybody from the moment ameondoa mguu wake nyumbani hakuna atakaye kufa na bado hiyo declaration ikawa endorsed with heavens kwasababu is God in functioning through holly spirit. Holly spirit's power is not limited kwenye kikombe na babu He is almighty! Utaona mwanamke aliyekuwa akitokwa damu alipogusa pindo tu alipona pamoja na ule umati kuwa mkubwa na ukumbuke that happened ata time when holly spirit was not yet released on earth..uwepo wa Yesu tu pale magnitude ya holly spirit ilikuwa mpaka to the atmosphere...Jaribu kuona power ya holly spirit kama radiation na media kuu ya kubeba hiyo power ni uttered words..unapo release words kwa imani impact yake ni wewe unaweka boundaries ukisema the whole world it goes ukisema Tanzania nzima it goes. Condition ni imani ndani ya moyo na uttered word! Ndiyo maana Mungu alipo umba hakuwaza tu no alitamka dunia tokea na ikawa na nguvu ile ile iliyo create heaven and Earth (Holly spirit) ndo iko ndani yetu...

So you can see how doubtfull is babu kwenye hiyo miracle yake!
 
Back
Top Bottom