si vigumu kuamini kwa kuwa unajua yaliyofanyika hata kuwaingiza kwa lazima wabunge hewa wa chadema licha ya kufukuzwa uanachama na wanakula pesa za walipa kodi bure kwa ndimi mbili ninaimani kwa asilimia 100Japokuwa Ndugai ana mapungufu makubwa lakini kwa hili nachelea kuliamini..kwa kuwa huyu aliyelitamka aliwahi kukiri kuwa aliwahi kuwazushia watu tuhuma za uongo ili kujiinua kisiasa.......sasa tutaamini vipi kama na hili ni miongoni mwa zile tuhuma za uongo.....??
Si kamtaja Ndungai ambaye yuko hai, inatoshaSasa mbona hakusema zamani wakti mwendazake yungali hai
Mbona hakusema hapo awali. Huu ni utopolo tu!View attachment 1772426
My Take
Mhimili unapogeuka kuwa dalali wa ubunge basi hatuna bunge,tuna mkusanyiko wa watu wanaounda kitu kinachofanana na bunge
Msigwa alisumbuliwa vipi??Of course kati ya watu walio sumbuliwa na Magufuli ukitoa Mbowe Lissu Lema basi ni Msigwa.
Kama mtu huyu hakununuliwa kipindi cha Magufuli basi ni pure opposition.
Ila tunaweka akiba ya maneno.
Alishawahi sema. so unalingine?Sasa mbona hakusema zamani wakti mwendazake yungali hai
Leo ameludia,alishasema toka zamani,
Itangazwe hadharani kwamba Ndugai ni aibu ya TaifaView attachment 1772426
My Take
Mhimili unapogeuka kuwa dalali wa ubunge basi hatuna bunge,tuna mkusanyiko wa watu wanaounda kitu kinachofanana na bunge
Nimekumbuka kitabu maarufu A-level kinaitwa "Usiku utakapokwisha" by Mbunda Msokile
Watu kama msigwa wana hamu ya kusikika ila ndo hivyo tenaView attachment 1772426
My Take
Mhimili unapogeuka kuwa dalali wa ubunge basi hatuna bunge, tuna mkusanyiko wa watu wanaounda kitu kinachofanana na bunge
View attachment 1772426
My Take
Mhimili unapogeuka kuwa dalali wa ubunge basi hatuna bunge, tuna mkusanyiko wa watu wanaounda kitu kinachofanana na bunge
Ujumbe haukutoka kwa Ndugai ulitoka kwa mwendazake...hivyo kumbuka mjumbe hauawiSi kamtaja Ndungai ambaye yuko hai, inatosha