HASIRA HASARA
Member
- Aug 21, 2012
- 17
- 0
Wana Jamvi mie nimepangwa hapo IFM...BA,,,,,Naishi Arusha naomba msaada kuhusu mchakato wa kupata chance ya HOSTEL
Nawasilisha wadau
Nawasilisha wadau
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa ujuzi wangu hafifu, kuna chance ya wanafunzi 600 na ushee ya kukaa hostel, lakin wanafunzi wapo wengi takriban 7000... So, nakushauri uwahi sana or else utapanga. Jaribu kutembelea ifm.ac.tz halafu ingia kwenye "dean of students" kupata mpango mzima...
Aende mitaa ya bp or jolis mana kuna rum za kutosha 2 afu bei cheeeee sana