Jamani wana JF, mchakato wa katiba mpya unategemea kupelekwa bungeni katika kikao kijacho cha bunge kwa mujibu wa taarifa ya mwisho wa mwezi wa March ya Mheshimiwa raisi lakini inakuaje yale makongamano, semina nk yanayotoa ufahamu wa namna ya undwaji wa katiba hiyo mpya ili umuakisi kila mtanzania kwa hadhi yake hayaanzi kutolewa au mpaka waanza vyama vya upinzani?