Mchakato wa kisheria wa kubadili jina lako

Mchakato wa kisheria wa kubadili jina lako

Unataka kubadilisha jina la baba kwenye birth certificate au jina lako? Kama ni jina la baba, nenda rita, utapata muongozo. Lakini kama ni majina yako tu then tafuta mwanasheria akuandalie kitu kinaitwa deed poll. Utaenda kuifile wa register pale wizara ya aridhi. Utalipia 80000 baada ya wiki your name will officially change.
 
Tumia ulilonalo maana sasa hivi unadhani litakusaidia kitu chochote?
 
tumia ulilonalo maana sasa hivi unadhani litakusaidia kitu chochote?

haisaidii najua! Sema mi nahisi simtendei haki mzee....istoshe he's still alive,
halafu ntakuja kuwachanganya watoto wangu na hizo id.
 
unataka kubadilisha jina la baba kwenye birth certificate au jina lako? Kama ni jina la baba, nenda rita, utapata muongozo. Lakini kama ni majina yako tu then tafuta mwanasheria akuandalie kitu kinaitwa deed poll. Utaenda kuifile wa register pale wizara ya aridhi. Utalipia 80000 baada ya wiki your name will officially change.

nataka kubadilisha jina la baba kwenye vyeti vyangu vyote mkuu....!
 
haisaidii najua! Sema mi nahisi simtendei haki mzee....istoshe he's still alive,
halafu ntakuja kuwachanganya watoto wangu na hizo id.

Kwakuwa Mzee wako yuko hai nadhani anajua ni namna gani hadi ikawa hiyo yaani wewe kutumia jina jingine kwa upande wa watoto wako tumia sasa la huyo Mzee
 
kwakuwa mzee wako yuko hai nadhani anajua ni namna gani hadi ikawa hiyo yaani wewe kutumia jina jingine kwa upande wa watoto wako tumia sasa la huyo mzee

ni kweli anajua, hata mimi najua...na yeye ndo amenitaka nibadilishe....!
 
Unatakiwa kuandaliwa Hati ya Kiapo ya Kubadili jina (Deed Poll for Changing name).wasiliana na Wakili.
 
kama ni jina lako alafu ndo umetumia kwenye vyeti vyote mpk univesty itakubalika?na vyeti itakuwaje?
 
ila uwe na takrima

dah! kumbe unawapata?!" niliendaga kubadilisha tarehe y kuzaliwa kwenye cheti ch kuzaliwa, walinizungusha mbhaaya kumbe walikua wanataka kitu kidogo halafu hawasemi na mm sielewi nabaki kuhangaika tu, nilipowapa tu! cku mbili tu kilibadilishwa ..........
 
Habari wa JF!

Kuna ndugu yangu anataka kubadili jina lakini yeye toka darasa la kwanza mpka chuo kikuu anatumia jina aliyo sawa kwenye vyeti vyake.

Sasa swali ni hivi, je, akibadili jina sasa hivi halitamsumbua wakati wa kutafuta kazi na kadhalika, yeye ndo amemaliza chuo kikuu mwezi uliopita.
 
Jaman wanasheria na wenye uzoefu naombeni msaada wenu.
 
Uhm...is it not too late,it was possible in his or her form2 b4 registration.me najua hvyo kama kna namna nyingne let's wait frm the guys over here!
 
Uhm...is it not too late,it was possible in his or her form2 b4 registration.me najua hvyo kama kna namna nyingne let's wait frm the guys over here!

changing name with no malice therein is possible. I wlk be back soon ngoja tupekue ushahdi
 
Nimemlea mtoto wa ndugu yangu anatumia jina la urithi la babu yake naona kama tabia alizonazo zinasababishwa na hilo jina nataka kulibadilisha je nitakiwa kufanyaje ? mtoto yuko class 6 kwa sasa hivi
 
Nimemlea mtoto wa ndugu yangu anatumia jina la urithi la babu yake naona kama tabia alizonazo zinasababishwa na hilo jina nataka kulibadilisha je nitakiwa kufanyaje ? mtoto yuko class 6 kwa sasa hivi

tabia zinasababishwa na jina?!!!! unataka umwite nani, Neil deGrasse?
kubadili siyo kazi, subiri waje wanasheria.
 
Inawezekana akabadili kwa Affidavit kwenye kila maombi atakua anaambatanisha Affidavit. Akipata kazi atatumia jina hilo kazini.
 
Nenda mahakamani ka hakimu au uende kwa wakili kuna form maalum utapewa kwa ajili ya kiapo cha kukana jina lako la sasa na kuchukua hilo unalolitaka.
 
Back
Top Bottom