Mchakato wa kuajiriwa kocha Amunike

Mchakato wa kuajiriwa kocha Amunike

Ahaaa mkuu Sasa nimeelewa!
Eti viongozi wa TFF akiwemo katibu mkuu walienda kuhudhuria mkutano fulani wa CAF sijui ni Misri vilee! Kufika huko wakakutana na moja ya watoa mada wa ule mkutano ambaye ndiye huyu Amunike wetu!

Viongozi wetu wa soka wakapagawa na yale madini ya Amunike; baada ya kutoka kwenye kikao wakamuomba namba! Mawasiliano yalianzia pale mpaka kufikia muafaka wa kuingia mkataba wa kujiunga na Taifa Stars!

Nakumbuka nilimsikia Jemedari Said akisimulia kwenye kipindi cha Sports Am cha Bin Zubery, Azam tv.
 
Back
Top Bottom