MSAGA SUMU
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 6,661
- 21,656
Viongozi kadhaa wa Kigoma kuwa jiji umefikia hatua nzuri na labda kutangazwa mapema kuliko watu wengi wanavyodhani.
Group la viongozi la WhatsApp linalopush hii agenda limesema Mambo yameiva kilichobaki ni suala la muda tu.
Wataalam wa siasa za Kigoma wanadai huenda Zitto Kabwe akawa meya wa Kwanza wa jiji la Kigoma.
Kila la heri Kigoma.
Leka tutigite
Group la viongozi la WhatsApp linalopush hii agenda limesema Mambo yameiva kilichobaki ni suala la muda tu.
Wataalam wa siasa za Kigoma wanadai huenda Zitto Kabwe akawa meya wa Kwanza wa jiji la Kigoma.
Kila la heri Kigoma.
Leka tutigite