Mchakato wa kumpata Mrithi wa Askofu Shoo kuanza hivi karibuni

Haya mambo ya kugombea yanaashiri kutokuwepo amani ndani yake, kwanini hawakoki moto wasubiri moshi ujibu?
 
Unaona majina yote yanaanza na Doctor tupu!

Njoo kwa hawa wenzetu wa Dp world sasa.
Hawa wa diipii welidi sifa yao kubwa uweze kuongea kama chiriku tu inatosha.
 
Waumini tunataka mwenye hofu ya Mungu ambaye hawezi kunyamaza kukemea uovu unaofanyika nchini.mfano uuzwaji wa maliasili za nchi
Hayo ni matakwa na matamanio yako binafsi na Chama chako Cha siasa sio ya Mungu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…