Isanga family
JF-Expert Member
- Feb 25, 2015
- 17,080
- 33,076
Watanzania wamebaki kujisifia Elimu huku wahuni wasio na Elimu yeyote wakiwarubuni tu...Mmelisaidia nini taifa na u dokta wenu? Taifa la wezi na mafisadi ya kalamu tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watanzania wamebaki kujisifia Elimu huku wahuni wasio na Elimu yeyote wakiwarubuni tu...Mmelisaidia nini taifa na u dokta wenu? Taifa la wezi na mafisadi ya kalamu tu
Haya mambo ya kugombea yanaashiri kutokuwepo amani ndani yake, kwanini hawakoki moto wasubiri moshi ujibu?Safari ya kumsaka mrithi wa Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Askofu Fredrick Shoo, inatarajia kuanza wakati wowote kuanzia sasa wakati kikao cha Halmashauri Kuu ya Kanisa hilo kikitarajiwa kukaa ili kupokea majina matatu ya maaskofu waliopendekezwa kugombea wadhifa huo wa juu.
Hawa wa diipii welidi sifa yao kubwa uweze kuongea kama chiriku tu inatosha.Unaona majina yote yanaanza na Doctor tupu!
Njoo kwa hawa wenzetu wa Dp world sasa.
Hayo ni matakwa na matamanio yako binafsi na Chama chako Cha siasa sio ya MunguWaumini tunataka mwenye hofu ya Mungu ambaye hawezi kunyamaza kukemea uovu unaofanyika nchini.mfano uuzwaji wa maliasili za nchi
Mdegela SI AnglicanWakina mdegela zama zao zilishapita, sasahivi ni kaskazini tu