Tetesi: Mchakato wa kumtangaza Mwalimu J.K Nyeree kuwa Mtakatifu

Tetesi: Mchakato wa kumtangaza Mwalimu J.K Nyeree kuwa Mtakatifu

Utakatifi wa kuamuliwa na binaadam ni ushetani tu.

Hii inadhihirisha kuwa nyerere alilitumikia kanisa katoliki kwa manufaa ya kanisaa na siyo kwa manufaa ya nchi.
 
Nyerere ni zawadi ya Mwenyezi Mungu kwetu watanzania [emoji120]

Alhamdulillahi thumma alhamdulillahi [emoji120]

Mfumo aliouasisi umelifanya taifa hili liendelee kusimama kwa AMANI , MSHIKAMANO NA UTULIVU.......

#Say No To Bigotry [emoji120]
#Say No To Hatred [emoji120]
#Say No To Racism[emoji120]

#YetzerHatov[emoji120]
#DoNotDoHarm[emoji120]

NEVER GIVE WISDOM TO UNWORTHY AS IT IS UNJUST TO THE KNOWLEDGEABLE [emoji120]
Tafakari kwa kina chukua hatua,ucwe mtumwa wa siasa
 
Sijausoma uzi ila gubu langu lipo penye mtakatifu baaasi😎😎😎😎😎
 
Muwe na hakika yuko pamoja nasi kwa sala katika kuendelea kumwombea huyu mpendwa wetu Mwl. J.K. ambaye leo anatimiza miaka 20 tangu Mwenyezi Mungu amwite kwake.
Kuna wakati ilisemwasemwa kuwa hakuitwa na Mungu ila wahuni fulani walimlazimisha aende, kwanini tusifunge Novena kuwalaani watu hao
 
Eti "mtakatifu" mara "mwenye heri" mara "mwema" 🤔🤔 wakatoliki mna vituko kweli 🚶🚶🚶
 
JULIUS KAMBARAGE NYERERE. BABA WA TAIFA LA TANGANYIKAA NA HATIMAE TANZANIA. BABA WA UTHUBUTU WA MAENDELEO YA NCHI YETU. MUASISI WA SIASA YA UJAMAA NA KUJITEGEMEA. MPINGA UBAGUZI WA RANGI. MPIGANIA UKOMBOZI WA NCHI MBALIMBALI DUNIANI. MSULUHISHI WA MIGOGORO BARANI AFRIKA. MSOMI ALIECHUKIA UNYONYAJI NA UBADHIRIFU WA MALI ZA UMMA. RAIS ALIEKUFA MASIKINI. MPENDA DINI NA MHESHIMU DINI ZA WENGINE.

MY TAKE: JULIUS K. NYERERE ANASTAHILI KUWA MTAKATIFU. MCHAKATO UHARAKISHWE
"Mchakato" ni 'formality' tu za kibinaadam. Mwalimu Nyerere alishapokelewa na Muumba wake na kupongezwa kwa kazi nzuri aliyoifanyia dunia nzima.
 
Naomba kabla sijaitwa na Mungu nishuhudie mwenye heri mwalimu Nyerere akifikia utakatifu

Mtakatifu Nyerere utuombee
 
Hakuna Mwanadamu asiye na dhambi hata mmoja. Kumaanisha hakuna mtakatifu hata mmoja.

Kufufua Wafu na utakatifu ni vitu viwili tofauti.
budda kama una dhambi ni wewe na nakushauri mkiri Yesu Kristo kua BWANA na mwokozi unapata ondoleo la dhambi automatically
Dhambi ni Uasi na dhambi iliingia kwa mtu mmoja naye ni Adam alipokataa kufuata maagizo ya Mungu akaanguka Dhambini
Vile vile Kupitia mtu mmoja yaani Yesu Kristo Mwana wa Mungu aliangikwa Msalabani na akamwaga Damu yake takatifu kwa Ondoleo la dhambi mara moja tu
kwa yeyote atakaye mwamini na kumkiri atapata wokovu na Uzima wa milele

asikudanganye mtu ndugu dhambi haiondolewi kwa maneno na blaa blaa ref Israelist walipotoka Misri waliagizwa kila mwaka watoe sadaka ya damu kwa ajili ya ondoleo la dhambi na kondoo safi walitolewa kwa niaba yao yaani kulingana na kabila 12 za ISRAEL
na Kuhani Mkuu akazipeleka pa takatifu pa patakatifu kwa masharti magumu ili tu jamaa wawe huru mwaka mzima na ikikataliwa mjue mtafyekwa wote Mungu hana masikhara
hata robo na Israel walijiona huru mwaka mzima
na walipewa unabii kua siku akija masihi hayo mambo yatakoma sababu wao ni fool wa maandiko na viburi Yesu alipokuja walimsulubisha kumbe kile kitendo ilikua ni unabii kwamba Masihi atafanywa kafara kwa ajili ya Dhambi zao maana kumbuka Yesu alizaliwa kwa uweza wa roho mtakatifu ambaye ndiye roho wa Mungu na ndio maana ataitwa Eternal Son of God na alikua pure without Sin ila wayahudi walimfanya dhambi kwa maana imeandikwa amelaaniwa aliye angikwa kwa msalaba na Yesu alifanyika dhabihu mbadala wa ile sadaka ya damu ya mnyama safi ili kila amwaminiye apate ondoleo la dhambi

cha kusikitisha wajinga wa kuonewa huruma hamjui history ya Wayahudi na wala hamjui lengo la Masihi tangu mwanzo Wayahudi waliamini masihi akija ataleta Ufalme wa Mungu na atakua Mfalme atakayepewa mamlaka Mbinguni na Duniani yaani Mungu anakua ndani yake na hapo ataanza kutawala kwa niaba ya Mungu katika ulimwengu huu na ule wa Roho maana Mungu ni roho na Mungu ikiwa ndani ya Yesu ni IMANUEL yaani Mungu pamoja nasi,
hii code wenye hekima wa Dunia hii walifungwa na elites wote elimu yao ni bure juu ya uelewa na ndio maana Wayahudi kwa kujifanya werevu walimkataa Yesu Kristo kwa kujifanya wanaelewa hekima ya kiungu kumbe zero na Yesu alisema wazi kabisa yeyote atakayejishusha akawa mdogo punde atakua mkubwa wa yote yaani ukitaka kuelewa hili lazima ukubaliane kwanza ndio upate udhihilisho bila hivyo utaona ni hadithi isiyovutia maana tangu mwanzo wa Nuhu watu walinywa juu ya gharika wakamuona Nuhu mwehu maana akili zao zilikataa juu ya tukio hilo wakiona kama ni haiwezekani katika hali ya kawaida ila unajua nini kilifuata,

ndugu katika haya maisha Mungu anaabudiwa katika roho na kweli na hiyo kweli ni
YESU KRISTO nje ya kweli hakuna Mungu yeye ndiye njia ya kweli na uzima
bila kumkubali Yesu na kile alichosema ni kumkataa masihi na adhabu yake ni JEHANAM no mercy maandiko yapo wazi na hii ni amri ya kifalme atakayeikubali ameokoka na atakayeikataa amekwisha kuhukumiwa!
either ukubali upate wokovu au ukatae Jehanam na Ibilisi Mwasi haina kubembeleza wala Blaa blaah hii ni amri ya kifalme na likifungwa Duniani limefungwa Mbinguni na likifunguliwa Duniani limefunguliwa Mbinguni

Note Sijaweka vifungu vya Bible na Vipo ila nimefanya summary tu utajua hujui
SHALOM!
 
Back
Top Bottom