Mchakato wa uchaguzi Chadema umedhihirisha kuwa ni chama chenye wafuasi wengi na ushawishi mkubwa zaidi kwa Watanzania kuliko CCM

Mchakato wa uchaguzi Chadema umedhihirisha kuwa ni chama chenye wafuasi wengi na ushawishi mkubwa zaidi kwa Watanzania kuliko CCM

fazili

JF-Expert Member
Joined
Jun 10, 2011
Posts
16,427
Reaction score
22,418
Kuna viashiria vingi vya chama chenye nguvu na wafuasi wengi. Mojawapo ya viashiria hivyo ni wingi wa watu wanaojitokeza wakati chama hicho kikifanya michakato yake ya ndani kama vile uchaguzi mkuu, n.k.

Tofauti na CCM, mchakato wa uchaguzi mkuu wa viongozi ndani ya CHADEMA umevuta hisia kali na ushiriki wa mamilioni ya watanzania na watu wengine Africa Mashariki na Duniani kote. Jambo hili limedhihirisha kuwa CDM ni chama chenye nguvu na ushawishi mkubwa zaidi kuliko CCM.

Ila ifikapo wakati wa uchaguzi mkuu, demokrasi hupokwa na kubadilisha kabisa matakwa ya wananchi kupitia dola na tume ya uchaguzi isiyokuwa huru.
 
Kuna viashiria vingi vya chama chenye nguvu na wafuasi wengi. Mojawapo ya viashiria hivyo ni wingi wa watu wanaojitokeza wakati chama hicho kikifanya michakato yake ya ndani kama vile uchaguzi mkuu, n.k.

Tofauti na CCM, mchakato wa uchaguzi mkuu wa viongozi ndani ya CHADEMA umevuta hisia kali na ushiriki wa mamilioni ya watanzania na watu wengine Africa Mashariki na Duniani kote. Jambo hili limedhihirisha kuwa CDM ni chama chenye nguvu na ushawishi mkubwa zaidi kuliko CCM.

Ila ifikapo wakati wa uchaguzi mkuu, demokrasi hupokwa na kubadilisha kabisa matakwa ya wananchi kupitia dola na tume ya uchaguzi isiyokuwa huru.
Ni kwasababu hamna chama mbadala na watu walisha choka CCM wana kiu ya mabadiliko, lakini Mbowe pia alisha nunuliwa na chama tawala hapo watanzania ndo wameumia zaidi.......kama Lisu atapata wenye kitu itachukua sio chini ya miaka10 kujenga chama kiingine cha upinzani
 
Back
Top Bottom