Mchambuzi Alex Ngereza unapotoka

Mchambuzi Alex Ngereza unapotoka

Tsyamatsy

JF-Expert Member
Joined
Sep 9, 2023
Posts
265
Reaction score
421
Kauli ya Kuwa eti Simba ilipangwa kundi dhaifu, hivi wewe akili zako Zina Akili kweli? Hujielewi kwamba kwa ajira uliyonayo unasikilizwa na kufuatiliwa na watu ambao baadhi hawajui lolote na wanategemea Kila wanalolisikia kutoka katika vyombo vya habari ambavyo Kuna waajiriwa kama wewe ni habari sahihi, lakini pengine si sahihi ni mawazo yako wewe binafsi.

Hivi wewe eti ni mchambuzi! Hivi kwenye group stage Kuna timu DHAIFU pale? Kweli unakaa ktk kipaza sauti na kuwaaminisha wanaokusikiliza eti timu Fulani imepangwa na timu dhaifu.

Usidanganye wasikilizaji wako na pia uelewe kuwa katika mashindano ngazi ya group stage and above hakuna timu dhaifu hata moja. Unawaambia nini wasikilizaji wako Kwa timu kama Al-Haly ya Misri inayoshinda goli moja tu na kuondoka na point 3 katika michezo yake, je, ni mbovu?

Au Kwa nini Ihefu iliyoifunga Young Africa isishiriki maana Ihefu ni bingwa wa Yanga ambayo Yanga ni mbabe wa Waarabu CRB, au Kwa nini Namungo aliye toka suluhu na Simba asishiriki?

We acha unazi wako huo! Maneno yako hayo kayaongelee kwenye vijiwe vya kahawa sio nyuma ya microphones mnajishushia heshima. Acha hizo!!

Sent from my Infinix X6512 using JamiiForums mobile app
 
Kauli ya Kuwa eti Simba ilipangwa kundi dhaifu, hivi wewe akili zako Zina Akili kweli?? Hujielewi kwamba Kwa ajira uliyonayo unasikilizwa na kufuatiliwa na watu ambao baadhi hawajui lolote na wanategemea Kila wanalolisikia kutoka katika vyombo vya habari ambavyo Kuna waajiriwa kama wewe ni habari sahihi, lakini pengine si sahihi ni mawazo yako wewe binafsi.
Hivi wewe eti ni mchambuzi! Hivi kwenye group stage Kuna timu DHAIFU pale?? Kweli unakaa ktk kipaza sauti na kuwaaminisha wanaokusikiliza eti timu Fulani imepangwa na timu dhaifu.
Usidanganye wasikilizaji wako na pia uelewe kuwa katika mashindano ngazi ya group stage and above hakuna timu dhaifu hata moja. Unawaambia nini wasikilizaji wako Kwa timu kama Al-Haly ya Misri inayoshinda goli moja tu na kuondoka na point 3 katika michezo yake, je, ni mbovu??
Au Kwa nini Ihefu iliyoifunga Young Africa isishiriki maana Ihefu ni bingwa wa Yanga ambayo Yanga ni mbabe wa Waarabu CRB, au Kwa nini Namungo aliye toka suluhu na Simba asishiriki?
We acha unazi wako huo! Maneno yako hayo kayaongelee kwenye vijiwe vya kahawa sio nyuma ya microphones mnajishushia heshima. Acha hizo!!

Sent from my Infinix X6512 using JamiiForums mobile app
Mna uhakika hao jamaa zenu wapo humu ndani?
 
Haya tumkubalie kua Simba alipangwa kundi dhaifu,sawa Sasa alitakaje labda?
Au Simba ilituma maombi CAF ipangwe katika kundi hilo?

Imetokea basi imetokea,
Je Simba wangeomba wabadilishiwe kundi?

Ok sawa ,je kama Simba ingefungwa na timu zote na kutolewa so ndio ingedharauliwa sana.

Lakini je hao wengine si nao wameingia kwenye makundi kutokana na vigezo vilivyowekwa na CUF?
 
Simba ni mbovu ukiachilia mbali udhaifu wake na Kundi lake la timu dhaifu
Twambie Ubora wa Kundi lako wew ulikua wapi maana Simba kundi lake alikua Waydad ambaye ana Historia ya kuwa Bigwa wa CAF champions leauge mara tatu na Mara ya Mwisho fainali kacheza last season Asec ni bigwa wa CAF champions leauge mwaka 1998 ambapo Yanga na Simba hakuna hata mmoja aliyebeba Kundi la Simba lilikua na Mabigwa Wa CAF champions leauge wawili Waydad na Asec Unaitaje Kundi la Simba Ni dhaifu
Kundi la Yanga Bigwa wa CAF champions leauge Bigwa ni Mmoja tu ni Ahaly peke yake wew na sis nani alikua kwenye Kundi Dhaifu jitaidini muwe na Heshima kidogo
 
wachambuzi bongo wanaendekeza hisia zaidi ya ujuzi
 
Mbona kama yuko sahihi vile! Kama vipi, ondoa tu hilo povu lako mdomoni.
 
Twambie Ubora wa Kundi lako wew ulikua wapi maana Simba kundi lake alikua Waydad ambaye ana Historia ya kuwa Bigwa wa CAF champions leauge mara tatu na Mara ya Mwisho fainali kacheza last season Asec ni bigwa wa CAF champions leauge mwaka 1998 ambapo Yanga na Simba hakuna hata mmoja aliyebeba Kundi la Simba lilikua na Mabigwa Wa CAF champions leauge wawili Waydad na Asec Unaitaje Kundi la Simba Ni dhaifu
Kundi la Yanga Bigwa wa CAF champions leauge Bigwa ni Mmoja tu ni Ahaly peke yake wew na sis nani alikua kwenye Kundi Dhaifu jitaidini muwe na Heshima kidogo
Anamaanisha ni dhaifu kwa Sasa.
Hata Mike Tyson alikua bigwa wa Dunia wa masubwi.
Hivi Sasa hata Mandonga mtu kazi ngumi ya doinge anamkalisha.
 
Hivi bado mnawasikiliza hao watu karne hii!!?
 
Kuna jamaa mmoja aliniibiaha suruali yangu, anafanana sana na huyo ngereza. Yaani nikimuona huyu jamaa namkumbuka yule mwizi. Basi na uchambuzi wake wa kipuuzi kila siku, najikuta nashikwa na hasila kwelikweli.
Huyu jamaa sijui nani anamfuataga na kipaza sauti kumsikiliza.
 
Back
Top Bottom