Huyu ibenge tumempiga akiwa na vita na tumempiga akiwa na berkabe vipi msimu uliopita alipigwa nje ndani na rivers na kutolewa alikua ibenge pia?Ibenge ni moto Mzee
Ilikuwaje akafurushwa ligi ya mabingwa na kuangukia mashindano ya ndondo?" Prof Nabi anngepewa mechi Ile ya Simba vs wydadi basi Ile mechi isingefika hata kwenye matuta, ingeishia dk ya 90 wydadi kafungwa Tena goli sio chini ya Moja" farasi wa vita (2023)
Sababu
Prof Nabi ni bingwa wa kusoma mchezo ( genius) that's y kipindi Cha pili lazima upasuke.
Je!!! unadhani prof Nabi ana vitu Gani special
View attachment 2605801
Achana historia mkuu.....ibenge now days ana kikosi hatariHuyu ibenge tumempiga akiwa na vita na tumempiga akiwa na berkabe vipi msimu uliopita alipigwa nje ndani na rivers na kutolewa alikua ibenge pia?
Sent using Jamii Forums mobile app
AaaahaaasNilitaka kusahau kuwapa congratulations wananchi Kwa kuandika historia kuwa club ya kwanza east Africa, Great lake zone Kwa kuvuka kwende nusu final bila kuroga + kufa kiume[emoji23][emoji23]View attachment 2605821
Hzo stori tuYanga Ali sacrifice mechi ya Simba Ili ashinde kimataifa that's what happened
Anamzungumzia Nabi huyu huyu aliyeshindwa kuwatoa Al Hilal ya Sudan chini ya Ibenge au Nabi huyu alishindwa kutamba mbele ya Roberthno wa Simba, au mimi ndo sielewi?¡......" Prof Nabi anngepewa mechi Ile ya Simba vs wydadi basi Ile mechi isingefika hata kwenye matuta, ingeishia dk ya 90 wydadi kafungwa Tena goli sio chini ya Moja" farasi wa vita (2023)
Sababu
Prof Nabi ni bingwa wa kusoma mchezo ( genius) that's y kipindi Cha pili lazima upasuke.
Je!!! unadhani prof Nabi ana vitu Gani special
View attachment 2605801
Ko unataka kusema cha RS Barkane na AS Vita vilikua vikosi dhaifu kwasababu tu walifungwa na Simba sio?Achana historia mkuu.....ibenge now days ana kikosi hatari
Kashashndwa kumsoma [emoji23][emoji23][emoji23]Ungemhoji huyo mchakuku,lini nabi alimfunga robetinho