GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Tafuta Sumu Kali ya Kirusi ya 'Cynade' ukiipata sema ulipo ili nije uniwekee na unayenichukia Nife mbele yako ili Ufurahi sawa?Yani Kila kitu, Kila Uzi wewe tu!!!!!!...
Nilikipenda sana kitabu Cha JK Nyerere tujisahihishe...
"Cyanide" not cynadeTafuta Sumu Kali ya Kirusi ya 'Cynade' ukiipata sema ulipo ili nije uniwekee na unayenichukia Nife mbele yako ili Ufurahi sawa?
Tafuta Sumu Kali ya Kirusi ya 'Cynade' ukiipata sema ulipo ili nije uniwekee na unayenichukia Nife mbele yako ili Ufurahi sawa?
Nakubaliana na wewe, bila chuo tutaendelea kudanganywa na wasaka teuzi wanaojiita wachambuzi. Mtu akiona kuna nafasi Yanga anasifia usajili wa Yikpe, akiona kuna nafasi Simba anamsifia Okwa ni kama Messi."Katika dirisha hili dogo Simba SC wamesajili vyema na kiufundi kuliko Yanga SC," Wilson Oruma Mchambuzi wa Michezo EFM na Rais wa Wapanda DalaDala (Bayankata) Tanzania nzima.
Chanzo: EFM Sports Headquarters dakika chache zilizopita.
Ombi langu kuu GENTAMYCINE kwa Serikali yangu ni Kujenga chuo maalum cha kupika Wachambuzi bora na mahiri wa Michezo (hasa Soka) kwa Tanzania ili tuondokane na Wachambuzi wabahatishaji na wacheza kamari tulionao kwa sasa Tanzania.
Sio sumu ya kirusi bali ni compoundTafuta Sumu Kali ya Kirusi ya 'Cynade' ukiipata sema ulipo ili nije uniwekee na unayenichukia Nife mbele yako ili Ufurahi sawa?
Sewahaji na Mwaisela zote ni Wodi za Muhimbili National Hospital sawa?"Cyanide" not cynade
Kwa Kunirekebisha Kwako huku ( hivi ) Umasikini wako wa Kipato ( Fedha ) na Akili ( Fikra ) umekwisha?Yani wewe hata kuandika ni Changamoto.
Inaandikwa Cyanide" not cynade.