Mchambuzi: Hakuna mchezaji wa Simba anayeweza kucheza Al Ahly

Mchambuzi: Hakuna mchezaji wa Simba anayeweza kucheza Al Ahly

Mkuu, haya mashindano utopolo hawapo! Najua ligi zimesimama kuyapisha mashindano haya, na hakuna cha kuripoti. Lakini walau si ungekuwa unachambua hali ya mazoezi ya Skudu huko kambini?
[emoji23]
1697517019892.jpg
 
"Hakuna mchezaji wa klabu ya Simba anayeweza kupata nafasi kwenye kikosi cha klabu ya Al Ahly (ya Misri) hakuna hata mmoja" Abdulghafal Ally,
Mchambuzi wa soka TBC FM

NB: Kwa pale uananchini Max, Yao, Bacca wanaweza kupata namba za kudumu pale Al Ahly.

Makolo mnabisha hapa?
Mtasema na bado mtasema sana. Daaaaadadeeeeeki. #HAIWAHUSU
 
"Hakuna mchezaji wa klabu ya Simba anayeweza kupata nafasi kwenye kikosi cha klabu ya Al Ahly (ya Misri) hakuna hata mmoja" Abdulghafal Ally,
Mchambuzi wa soka TBC FM

NB: Kwa pale uananchini Max, Yao, Bacca wanaweza kupata namba za kudumu pale Al Ahly.

Makolo mnabisha hapa?
Huyo mchambuzi yeye ana uwezo wa kuwa kocha?
 
Tukipigwa nyingi ni sisi SSC, timu pekee ukanda wa East and Central Arica kushiriki mashindano haya yenye heshima ya kipekee Africa. Nyie wengine #HAYAWAHUSU
Tp mazembe wapo
 
Back
Top Bottom