Mchambuzi: Hakuna mchezaji wa Simba anayeweza kucheza Al Ahly

Mchambuzi: Hakuna mchezaji wa Simba anayeweza kucheza Al Ahly

"Hakuna mchezaji wa klabu ya Simba anayeweza kupata nafasi kwenye kikosi cha klabu ya Al Ahly (ya Misri) hakuna hata mmoja" Abdulghafal Ally,
Mchambuzi wa soka TBC FM

NB: Kwa pale uananchini Max, Yao, Bacca wanaweza kupata namba za kudumu pale Al Ahly.

Makolo mnabisha hapa?
Je kuna mchezaji wa Ihefu atapata namba Yanga? Kufungwa kuna mengi ndani yake
 
"Hakuna mchezaji wa klabu ya Simba anayeweza kupata nafasi kwenye kikosi cha klabu ya Al Ahly (ya Misri) hakuna hata mmoja" Abdulghafal Ally,
Mchambuzi wa soka TBC FM

NB: Kwa pale uananchini Max, Yao, Bacca wanaweza kupata namba za kudumu pale Al Ahly.

Makolo mnabisha hapa?
View attachment 2784690
Sema hayo maneno kayasema BAHASHA WAKO FULLSTOP
 
Back
Top Bottom