njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,081
- 8,671
kwa kweli nchii hii ina safari ndefu embu jionee maarifa na uwezo "mkubwa" wa wachambuzi wa kibongo a.k.a ma genius, huyu bwashee kajiandikia ka tweet chake halafu kafuta.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu home boy anazingua sanaa...uchambuz haujui sema amebarikiwa kuwa na mdomo wa kuchamba tuMchaga na mpira wapi na wapi? Akwende akachambue matambiko na unywaji wa mbege huko.
Ni mechi gani ni team gani? Mbona kafuta tweet na kaandika kimafumbo?Ukweli usemwe na ni kweli limetokea!!!
Akina Leodgar Tenga, Christopher Akex, Dida, etc, hawa ni wachaga na wamecheza mpira kwa viwango bora kabisa. Punguza domo.Mchaga na mpira wapi na wapi? Akwende akachambue matambiko na unywaji wa mbege huko.
Sawa mankaAkina Leodgar Tenga, Christopher Akex, Dida, etc, hawa ni wachaga na wamecheza mpira kwa viwango bora kabisa. Punguza domo.
Sasa Hilo kamuulize mwenyewe kwani we nani unampamgia aina ya uandishi?ni mechi gani ni team gani? mbona kafuta tweet na kaandika kimafumbo?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mchaga na mpira wapi na wapi? Akwende akachambue matambiko na unywaji wa mbege huko.
kuna kabila la wachambuzi?Mchaga na mpira wapi na wapi? Akwende akachambue matambiko na unywaji wa mbege huko.
Naona umeanza kuwashwa tk.Sawa manka