steveachi
JF-Expert Member
- Nov 7, 2011
- 10,643
- 12,247
We motivate you kamahujui sasa, Leo usingefika hapo kwa ngekewa kama yanga asingekuwa wakimataifa
Mmemmotivate nani nyie wanga tu
Hapo roho zenu nyeusiiiiiiiiii na vijiba vya roho
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We motivate you kamahujui sasa, Leo usingefika hapo kwa ngekewa kama yanga asingekuwa wakimataifa
Wakati unagombania nafasi ya tano wewe nakina kagera sugar yanga ana panda ndege kwenda kucheza na mabingwa wenzieMmemmotivate nani nyie wanga tu
Hapo roho zenu nyeusiiiiiiiiii na vijiba vya roho
Halafu yanga akafanya Nini la ajabu zaidi ya kuvurunda vurunda?Wakati unagombania nafasi ya tano wewe nakina kagera sugar yanga ana panda ndege kwenda kucheza na mabingwa wenzie
Ku motivate Simba kutoka kuwa underdog
Kacheza na saikolojia tu hapo maana anaogopa msije mpopoa na mawe bureMchambuzi underdog hakosi maneno kama mwanasiasa Hahahaha natafakari hapa kwa sauti ya upole sijui droo itakapochezeshwa j5 atatuita neno gani??
Sent using Jamii Forums mobile app
Kapite na wewe basi bakuli fcNa kweli tatizo letu hatupendi ukweli Simba ni kama kapita kwa ngekewa tu
Uyo anajivunia kuombaombaHebu yaandike hayo ya kujivunia. Tatizo watu hawahesabu magoli wanahesabu pointi.Ndio maana Vita kawa wa mwisho.
Hata wewe na upopoma wako unaelewa hilo au???
jichome kidole unuseNa kweli tatizo letu hatupendi ukweli Simba ni kama kapita kwa ngekewa tu
Yaani hao jamaa na mapoyoyo yanawaza kupanda ndege na kula msosi kwenye ndege lakini uwanjani hamna kitu...Mara ya mwisho Yanga kushiriki makundi 1998 Yanga alimaliza kundi lake na pointi 2 magoli ya kufunga 7 na kufungwa 22.
Alikuwa wa mwisho. Kuna mjinga hapa anajivunia kwamba hiyo ni achievement.Au alikuwa hajazaliwa?
Ngekewa vipi wakati toka mwanzo walisema watashinda mechi zote za nyumbani??Na kweli tatizo letu hatupendi ukweli Simba ni kama kapita kwa ngekewa tu
Zilikuwa hesabu za kimpira zisizo na akili timamuNgekewa vipi wakati toka mwanzo walisema watashinda mechi zote za nyumbani??
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi mjomba ukisema mwaka huu ntajenga nyumba na ukajenga kweli, Je Kuna mtu atasema ni ngekewa???Zilikuwa hesabu za kimpira zisizo na akili timamu
Mara ya mwisho Yanga kushiriki makundi 1998 Yanga alimaliza kundi lake na pointi 2 magoli ya kufunga 7 na kufungwa 22.
Alikuwa wa mwisho. Kuna mjinga hapa anajivunia kwamba hiyo ni achievement.Au alikuwa hajazaliwa?
?????
Wakati unagombania nafasi ya tano wewe nakina kagera sugar yanga ana panda ndege kwenda kucheza na mabingwa wenzie