Nimeshangazwa sana na mtu ameaminiwa kuwa mtangazaji na mchambuzi wa mpira lakini hatumii vizuri akili yake kufanya kazi yake.
Amelaumu mashabiki wa Simba kuwa hawana msaada kwa timu.
Hawanunui kadi za uanachama wala hawalipii ada ya uanachama.
Hawananui jezi,na wala hawana mchango wowote wa maana kwa timu.
Mimi naomba nimuulize,ni wapi kadi za uanachama wa Simba zinatolewa?
Je wauza jezi walipata hasara kiasi gani kwa kuagiza jezi na hazikununuliwa?
Je anajua jezi nyingi zinazouzwa mikoani ni feki au yeye ndiye chawa wa wauza jezi feki?
Unadhani kila mtu mkoani anavaa vitu feki au hawajui vitu quality?
Kwa taarifa yako,kuna mashabiki wengi tu wa yanga kutoka huku mikoani wananunua jezi hadi elfu themanini jezi moja.
Hawa wa Simba wanasikitika tu kuona aina za jezi zinazouzwa hazina quality.
Huwezi kununua tu jezi unavaa unaonekana muuza mkaa.
Mashabiki wanalipia app za timu zao,wanasafiri kutoka mikoani kwenda Dar kusapoti timu kwenye mechi za kimataifa.
Mashabiki wanaingia kwenye mechi kusapoti timu.
Mashabiki wananunua bidhaa za mwekezaji wakiamini ni mchango wao kwa timu.
Mashabiki ni nguzo muhimu ya kuvutia waekezaji.
Kwa sasa Hier wa yanga bidhaa zao zina soko na kupendwa kwa kuwa tu zimetangazwa kupitia platform za timu inayofuatiliwa na hao mashabiki unaowaona hawana maana.
Kama umetumwa na mwekezaji,mwambie aiache timu aone kama timu itakufa
Amelaumu mashabiki wa Simba kuwa hawana msaada kwa timu.
Hawanunui kadi za uanachama wala hawalipii ada ya uanachama.
Hawananui jezi,na wala hawana mchango wowote wa maana kwa timu.
Mimi naomba nimuulize,ni wapi kadi za uanachama wa Simba zinatolewa?
Je wauza jezi walipata hasara kiasi gani kwa kuagiza jezi na hazikununuliwa?
Je anajua jezi nyingi zinazouzwa mikoani ni feki au yeye ndiye chawa wa wauza jezi feki?
Unadhani kila mtu mkoani anavaa vitu feki au hawajui vitu quality?
Kwa taarifa yako,kuna mashabiki wengi tu wa yanga kutoka huku mikoani wananunua jezi hadi elfu themanini jezi moja.
Hawa wa Simba wanasikitika tu kuona aina za jezi zinazouzwa hazina quality.
Huwezi kununua tu jezi unavaa unaonekana muuza mkaa.
Mashabiki wanalipia app za timu zao,wanasafiri kutoka mikoani kwenda Dar kusapoti timu kwenye mechi za kimataifa.
Mashabiki wanaingia kwenye mechi kusapoti timu.
Mashabiki wananunua bidhaa za mwekezaji wakiamini ni mchango wao kwa timu.
Mashabiki ni nguzo muhimu ya kuvutia waekezaji.
Kwa sasa Hier wa yanga bidhaa zao zina soko na kupendwa kwa kuwa tu zimetangazwa kupitia platform za timu inayofuatiliwa na hao mashabiki unaowaona hawana maana.
Kama umetumwa na mwekezaji,mwambie aiache timu aone kama timu itakufa