Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 19,637
- 29,473
Baada ya kuangalia michuano yote based on. Stiffness/ ugumu .na ubora wa wachezaji na ukamiaji wa timu na timu/ udhaifu wa michuano ya shirikisho mbele ya club bingwa
Leo wachambuzi tumekuja ku draw conclusion Kwamba ligi ya mabingwa ni bora mara 10 ya kombe la wamama ( shirikisho)
Maana yake Nini
Points 4 za club bingwa ni sawa na points 12 za kombe la shirikisho..but other factors remain constant
NB: kubali au kataa !!! Kwa points
Leo wachambuzi tumekuja ku draw conclusion Kwamba ligi ya mabingwa ni bora mara 10 ya kombe la wamama ( shirikisho)
Maana yake Nini
Points 4 za club bingwa ni sawa na points 12 za kombe la shirikisho..but other factors remain constant
NB: kubali au kataa !!! Kwa points