Ufaza mwingi, pale hakuna kocha.Kabisa mkuu,....sijui tatizo nini
Kocha unamuonea tu mkuu. Timu inaonekana morali ipo chini sana.Ufaza mwingi, pale hakuna kocha.
Timu inashinda ila mashabiki hatuna furaha
Ukikutana na timu yenye mpira mbovu usitegemee game itakuwa nzuri. Simba ikikutana na timu nzuri ya level yake ndio utaona huo mpira mzuri mnaoutaka.Simba bado wanacheza mpira wa hovyo
"Achana na idadi ya magoli yaliyofungwa na Simba leo,kwa aina ya timu iliyokutana nayo na aina ya mchezo ulivyokuwa ilikuwa ni nafasi ya kutupa mechi safi tofauti na hii tuliyoiona.Simba hii hata ukiangalia bar unasinzia"...
Hapo ndo kazi ya mwalimu inapoonekana.Kocha unamuonea tu mkuu. Timu inaonekana morali ipo chini sana.
Either pressure imekuwa juu sana ama wachezaji wanataka kufanya vitu vingi ambavyo havipo katika maelekezo ya mwalimu.
Shida zaidi ya Simba inakuja wakiwa hawana mpira. Wachezaji wanatembea na huoni uthubutu wao katika kutafuta mpira.
Yaani sijui ni kocha. Mfano ile mechi ya Ngao ya Hisani, aina ile ya mpinzani wa Simba ilitakiwa afungwe 3-0 ndani ya dakika 90, lakini akaitesa Simba hadi ikaponea kwenye matuta. Simba ni timu kubwa, haitakiwi kufikishwa kwenye matutaKabisa mkuu,....sijui tatizo nini
Mtoto wa shangazi kwa mjomba walikutana Leo! Hakukuwa na mechi Leo!Huyo mchambuzi na ww mtakufa midomo wazi...kwa alieangalia mechi Simba imecheza vzr sana...na Coastal wamecheza vzr sana pia...
Acheni chuki ongeeni reality...
Je tusiseme ukweli kwakua wachezaji watavunjika moyo?Mashabiki wa Simba ni kero sana. Mimi naona mpewe timu muiendeshe kwa kila kitu. Hamna shukrani kabisa. Kazi tu kuwavunja moyo wachezaji, kocha, viongozi na wawekezaji. Kifupi hamfai kuwa Mashabiki katika ulimwengu uliostaarabika.
Huo ni mdoli wa kolo🦁.Na sio Thimbaaa😂😂😂Simba bado wanacheza mpira wa hovyo
"Achana na idadi ya magoli yaliyofungwa na Simba leo,kwa aina ya timu iliyokutana nayo na aina ya mchezo ulivyokuwa ilikuwa ni nafasi ya kutupa mechi safi tofauti na hii tuliyoiona.Simba hii hata ukiangalia bar unasinzia"[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
SHAFFIH DAUDA,DIGALA.
NB: nafasi bado Iko wazi Kwa Makolo kwenda kupiga tuition pale jangwmdoliView attachment 2757310
Hakuna ukweli hapo, bali mihemuko tu.Je tusiseme ukweli kwakua wachezaji watavunjika moyo?
Bado hamjanena...[emoji1]Simba ikishinda maneno ikifungwa maneno mashabiki sijui mnataka nini? Yaani simba ingecheza mpira wenu mnaofikiria kichwani ikafungwa naye pia mngelalamika yaani mtaitwa malalamiko fc yaani hakuna hata kuwatia moyo wachezaji wafanye vizuri malalamiko malalamiko kila uchao dah
Sent using Jamii Forums mobile app