Ikiuma chomoa[emoji196] [emoji196] [emoji196] [emoji196] [emoji196] [emoji196]
Boko ni Mzee.,....huku kwetu ni kama wale wazee wa kimila ambao lazima wawepo Kila tukioMayele ni na Diara sio wabongo Unaongelea wachezaji wepi?
Kama sio Bocco staz wasingetinga aivari kost, Bocco ni mchezaji wa Simba huyo ndio Mbongo og ameliheshimisha taifa
Kama angekuwa mzee asingepewa namba staz, kama sio Bocco staz wasingetinga aivari kost 😅Boko ni Mzee.,....huku kwetu ni kama wale wazee wa kimila ambao lazima wawepo Kila tukio
Metacha Mnata, Kibwana Shomari, Dickson Job, Ibrahim Abdallah (Bacca), Bakary Nondo Mwamnyeto, Salum Aboubakary, Mudathir Yahya Abbas, Farid Musa Malick, na kwa mbaali Clement Mzize!!Mayele ni na Diara sio wabongo Unaongelea wachezaji wepi?
Kama sio Bocco staz wasingetinga aivari kost, Bocco ni mchezaji wa Simba huyo ndio Mbongo og ameliheshimisha taifa
Aahaaaaa,"Kama tusingekuwa na mambo ya utimu kwenye timu ya taifa basi mimi ningependekeza wachezaji wengi kutoka klabu ya Yanga kwenda kwenye mchezo huu dhidi ...
Wana sifa ila Bocco kawazidi mbali, hao uliowataja wote kwa muunganiko was hawamfikii Bocco hata kwa moja ya nane.Hawa wote wana sifa ya kuitwa timu ya Taifa.
Kabisa mkuuMetacha Mnata, Kibwana Shomari, Dickson Job, Ibrahim Abdallah (Bacca), Bakary Nondo Mwamnyeto, Salum Aboubakary, Mudathir Yahya Abbas, Farid Musa Malick, na kwa mbaali Clement Mzize!!
Hawa wote wana sifa ya kuitwa timu ya Taifa.
Hukumuona uwanjani jana?Boko ni mstaafu
Hakuna wachambuzi nchi hii achana na hao wapiga porojo."Kama tusingekuwa na mambo ya utimu kwenye timu ya taifa basi mimi ningependekeza wachezaji wengi kutoka klabu ya Yanga kwenda kwenye mchezo huu dhidi ya Algeria kutokana na uwezo wao ambao waliuonyesha msimu uliopita kwenye kombe la shirikisho wamepata uzoefu mkubwa sana kwenye mechi ngumu na muhimu kama hizi"
@boiboimkali
NB: Mnasemaje kuhusu hili [emoji23][emoji23]View attachment 2743360