Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 19,637
- 29,473
"Kama tusingekuwa na mambo ya utimu kwenye timu ya taifa basi mimi ningependekeza wachezaji wengi kutoka klabu ya Yanga kwenda kwenye mchezo huu dhidi ya Algeria kutokana na uwezo wao ambao waliuonyesha msimu uliopita kwenye kombe la shirikisho wamepata uzoefu mkubwa sana kwenye mechi ngumu na muhimu kama hizi"
@boiboimkali
NB: Mnasemaje kuhusu hili [emoji23][emoji23]
@boiboimkali
NB: Mnasemaje kuhusu hili [emoji23][emoji23]