The Phylosopher
JF-Expert Member
- Mar 11, 2015
- 1,968
- 2,957
Akizungumza jioni hii kupitia kipindi cha BBC kinachotathimini mwekekeo wa mambo katika mwaka tuanaouanza, mchambuzi huyo amesema kwa upande wa Tanzania wapinzani wanatakiwa wajifungie na kujivua gamba.
Amesema vyama vya upinzani vinapaswa kujitazama upya namna vinavyofanya siasa na hali ya demokrasia ndani ya vyama vyao kwani vingi vina mwekekeo wa kidikteta ingawa vinaimba kupigania demokrasi.
Amesema ilani za vyama hivyo hazina maelezo ya wazi namna gani wakipewa nchi wataitoa kwenye matatizo yaliyopo. Zaidi sana wanajenga hoja za kushambulia watu na kutukana matusi. Amesema Kwa maoni yake hizo siasa zimepitwa na wakati.
My take
Badala ya kutukanana matusi nadhani Kuna la kujifunza toka kwenye huo uchambuzi.
Mambo mazuri sio lazima yakufurahishe.
Amesema vyama vya upinzani vinapaswa kujitazama upya namna vinavyofanya siasa na hali ya demokrasia ndani ya vyama vyao kwani vingi vina mwekekeo wa kidikteta ingawa vinaimba kupigania demokrasi.
Amesema ilani za vyama hivyo hazina maelezo ya wazi namna gani wakipewa nchi wataitoa kwenye matatizo yaliyopo. Zaidi sana wanajenga hoja za kushambulia watu na kutukana matusi. Amesema Kwa maoni yake hizo siasa zimepitwa na wakati.
My take
Badala ya kutukanana matusi nadhani Kuna la kujifunza toka kwenye huo uchambuzi.
Mambo mazuri sio lazima yakufurahishe.