Mchana mbu wanakuwaga wapi?

Usiku mbu wanakuwaga very active mno hasa usiku wa manane kuanzia saa 4 hivi.

Alfajiri huanza kupotea. Mchana hawaonekani kabisa na hawaumi.

Sababu ni nini?


Sent using Jamii Forums mobile app


Wadudu na viumbe wengine wapo wa aina nyingi, na pia wanatofautina uhitaji muda wa kuwa active. Kuna wanao kuwa active mchana tu kama Nzi (Diurnal), na wanao kuwa active usiku kama Mbu (Nocturnal)... chukua hata mfano wa popo japo siyo mdudu. Mchana mbu na wadudu wengine hujificha sehem tofauti tofauti kma kweny majani au nyasi, madimbwi pia hata ndani kweny kona, uvunguni au sehem pasipo fikika kirahis.
 
Niwie radhi mleta uzi, honestly sikuwahi kufikiria kukutana na swali kama hili hasa humu JF, i hope umepata jibu la swali lako hasa kutoka kwa mchangiaji namba 4.
 
😂 mchana wanakuwa kwenye mishe zao pamoja na reproduction kwa new age..!
 
Wanajibanza kwenye vivuli... ila pande za jangwani vichakani utatafunwa na mbu live mchana wa jua kali
 
Huwa unashinda nyumbani mpaka ujue kama wapo au hawapo? Hata mchana wapo ila hawawi active kama usiku na Usiku ni rahisi kuwasikia sababu kumetulia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…