Hivi punde
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,554
- 8,587
Usiku mbu wanakuwaga very active mno hasa usiku wa manane kuanzia saa 4 hivi.
Alfajiri huanza kupotea. Mchana hawaonekani kabisa na hawaumi.
Sababu ni nini?
Sent using Jamii Forums mobile app
Alfajiri huanza kupotea. Mchana hawaonekani kabisa na hawaumi.
Sababu ni nini?
Sent using Jamii Forums mobile app