Mchana wa kutisha

Mchana wa kutisha

Kama una lengo la kufundisha weka hapa kila kitu na jitihada ulizofanya.otherwise unamdhalilisha dogo aliyekuwa hajui nini anataka kufanxiwa na huyo chokor

Kama una lengo la kufundisha weka hapa kila kitu na jitihada ulizofanya.otherwise unamdhalilisha dogo aliyekuwa hajui nini anataka kufanxiwa na huyo chokoraa
Mengi zaidi yako kwenye makala yangu niliyoshiriki Stories of changes SoC 2022 - Hii ni sauti ya dada yako, rafiki yako naitwa Judith Kaunda, karibu unisikilize
 
Wanaokulaumu mleta mada ni wapumbavu wamezoea kubaka vitoto hivyo wanaona kama unawazibia fursa,ukute wana watoto na wanawafundiaha tabia hizo. Kizazi cha karne hii cha hovyo sana
Hata mimi nimeshangaa kwa mashambulizi yao!!
Hii dunia ina viumbe wa ajabu sana,uzae huko pasi kumshirikisha mke,kwenye kulea umletee mke akulelee mtoto wa starehe zako za zinaa!! Vipi mke wa ndoa azae mtoto na mchepuko wake, wanaume tupo tayari kuhudumia huyo mtoto? Ukiachia mbali kumpenda?

Ubabe wa wanaume ndio unao haribu ustawi wa jamii yetu kuwa yenye amani na upendo.
Tusiiharibu mada kwa kumkejeli mleta mada, tupo tunao elimika.

Habari ya asubuhi binti mpole [emoji1666]
 
Inashangaza sana. Salama kabisa ,Shikamoo Uncle,za siku tele?
Hata mimi nimeshangaa kwa mashambulizi yao!!
Hii dunia ina viumbe wa ajabu sana,uzae huko pasi kumshirikisha mke,kwenye kulea umletee mke akulelee mtoto wa starehe zako za zinaa!! Vipi mke wa ndoa azae mtoto na mchepuko wake, wanaume tupo tayari kuhudumia huyo mtoto? Ukiachia mbali kumpenda?

Ubabe wa wanaume ndio unao haribu ustawi wa jamii yetu kuwa yenye amani na upendo.
Tusiiharibu mada kwa kumkejeli mleta mada, tupo tunao elimika.

Habari ya asubuhi binti mpole [emoji1666]
 
dunia imeranduka sana.

usipokuwa makini utamakinishwa.
 
Wanaokulaumu mleta mada ni wapumbavu wamezoea kubaka vitoto hivyo wanaona kama unawazibia fursa,ukute wana watoto na wanawafundiaha tabia hizo. Kizazi cha karne hii cha hovyo sana
Hawa ndio wazee wa kazi lazima wamind.
 
Mwenye Enzi Mungu Mwenye rehema na neema nyingi azidi kuwa linda watoto na vijana wetu milele walahi [emoji22]
Maana hapo ni nguvu za Mwenye Enzi Mungu tu!
Mwenye Enzi Mungu asipo linda nyumba, wailindao wanafanya kazi bure walahi
Yote ni kwake tu mlinzi wetu wa milele [emoji2972]
 
Kama una lengo la kufundisha weka hapa kila kitu na jitihada ulizofanya.otherwise unamdhalilisha dogo aliyekuwa hajui nini anataka kufanxiwa na huyo chokoraa
Nimeandika kwa kirefu kwenye makala yangu niliyoshiriki Stories of changes
 
Wanaokulaumu mleta mada ni wapumbavu wamezoea kubaka vitoto hivyo wanaona kama unawazibia fursa,ukute wana watoto na wanawafundiaha tabia hizo. Kizazi cha karne hii cha hovyo sana
Wanawake ni wanafiki na jamii imeamua kusikiliza na kuwapa supports kwenye unafiki wao ila wanaume wanapitia changamoto na unyanyasaji kuliko hata wanawake ni vile tu wanaume wameamua kuongea na hata wakiongea hakuna anayewasikiliza.
 
Wanawake ni wanafiki sana mi mwanamke akishaandika tu neno tumbo la uzazi na mu underestimate wanajifanya wana huruma ila unyama wanaowafanyia watoto wa mama wengine walio zaa na wanaume wengine wanaoishi pamoja kwenye ndoa mungu ndo anajua hukumu yao ila ukiwaona mitandaoni wanajifanya sijui tumbo la uzazi kumbe hakuna katili kama mwanamke kwenye uso wa dunia hata shetani kuna mda anachukua kozi kutoka kwao.
Hao watoto unaowatetea inawajua tabia zao?wametoka huko kwa mama zao wamejazwa sumu anakuja utasema kaja vitani,ukimtuma hata kusuuza vikombe vya chai anaona anateswa,wakati mama wa kambo anatakiwa kumuona mtoto wa mume Kama mwanae na huyo mtoto amchukulie huyo mama Kama mama yake,kinyume na hapo Vita ya mama wa kambo na mtoto haiwezi fika mwisho.
 
Hata mimi nimeshangaa kwa mashambulizi yao!!
Hii dunia ina viumbe wa ajabu sana,uzae huko pasi kumshirikisha mke,kwenye kulea umletee mke akulelee mtoto wa starehe zako za zinaa!! Vipi mke wa ndoa azae mtoto na mchepuko wake, wanaume tupo tayari kuhudumia huyo mtoto? Ukiachia mbali kumpenda?

Ubabe wa wanaume ndio unao haribu ustawi wa jamii yetu kuwa yenye amani na upendo.
Tusiiharibu mada kwa kumkejeli mleta mada, tupo tunao elimika.

Habari ya asubuhi binti mpole [emoji1666]
Na ww umeandika ujinga tu ni wanaume wangapi wanalea na wakuwasomesha watoto wa wake zao waliozaa na wanaume wengine au waliozaa kwenye ndoa au unajitoa ufahamu wanawake ni wanafiki tu kwasababu jamii inampa kisogo mwanaume basi kila kitu mnaona sawa tu matukio ya unyanyasaji na mauwaji ya watoto waliozaa na mwanamke mengine wanayafanya wanawake umesikia lini baba wa kambo kaua mtoto ila wanawake wanawawekea mpaka sumu watoto wa kambo yaaani nilivyo na hasira hapa ungekuwa karibu ningekunasa vibao akili ikae sawa mwanamke anazidiwa na shetani tu kwa ukatili na sio mda wote maana hata shetani kuna mda anachukua kozi kwa mwanamke.
 
Sasa kuna watu wamekasirika nini? Mtoa mada sijaona kosa lake hadi kuitwa mnafki. Au ndio wazee wa hizo kazi mana huezi mkasirikia mtu tu na hata sababu ya msingi hakuna.
Kwendeni huko elezea mada kawaida mtu akuelewe hii mambo ya kujifanya tumbo la uzazi linacheza sijui ziwa linatingisha kuna mtu katili kwenye uso wa dunia wa kumzidi mwanamke mnavyotesa watoto wa wenzenu humo majumbani kwani wao hawajazaliwa wameokotwa mnajifanya mnahuruma sana kumbe wanafiki tu shubamet
 
Kwendeni huko elezea mada kawaida mtu akuelewe hii mambo ya kujifanya tumbo la uzazi linacheza sijui ziwa linatingisha kuna mtu katili kwenye uso wa dunia wa kumzidi mwanamke mnavyotesa watoto wa wenzenu humo majumbani kwani wao hawajazaliwa wameokotwa mnajifanya mnahuruma sana kumbe wanafiki tu shubamet
Sasa umekasirika nini? Nyie ndio wazee wa kazi bila shaka. Kunywa maji upooze hasira.
 
Back
Top Bottom