pwilo
JF-Expert Member
- May 27, 2015
- 10,913
- 13,876
Sawa mbona wa kwenu wajeuri kushinda hao wakambo mbona hamuwafanyii hvyo chuki tu itoshe tu kusema mwanamke ni kiumbe katili kiwahi kuumbwa na mungu hao nyoka sijui simba ni kwasababu tu wanasumu ila mwanamke ni zaidi yao juzi tu hapa kuna mdada wa Uganda yule alikuwa anamchapa mwanae wa kumzaa kwenye mitandao ilizagaa ile video mi nakwambia hakuna mwanaume anayeweza kufanya vile wanaotesa housegirl ni wanawake hakuna mwanaume anatesa housegirl nyie mna roho mbaya sie tunaya ila nyie mmetuzidi mbaliHao watoto unaowatetea inawajua tabia zao?wametoka huko kwa mama zao wamejazwa sumu anakuja utasema kaja vitani,ukimtuma hata kusuuza vikombe vya chai anaona anateswa,wakati mama wa kambo anatakiwa kumuona mtoto wa mume Kama mwanae na huyo mtoto amchukulie huyo mama Kama mama yake,kinyume na hapo Vita ya mama wa kambo na mtoto haiwezi fika mwisho.