Kabsa mkuu huku wachezaj wetuWenzetu kwao full vita lakini wanasakata kandanda safi.
Sie huku tumebaki na kejeli na mipasho tu.
Nawatakia Syria Ushindi.
Mazoezi wanapiga vitani.Mbona kuna Vita sana huko nchini kwao mazoezi huwa wanayafanyia wapi?
Hatari niliskia Somalia wametuzidi kiuchumi TanzaniaMazoezi wanapiga vitani.
Mpira upo miguuni hata mazoezi hamna ila soccer linapigwa bongo majungu na figisu za TFF
Daaaaa!Washapigwa huku. The ex-toffee mid maestro Tim Cahil katupia mara mbili to break their hearts.
kweli usongo hauzidi uwezo!
Ndo hivyo..Al Soma kama kawa aliwapa lead dakika chache baadae Cahill akachomoa kabla hajawaua kabisaDaaaaa!