Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Taarifa ya Shukrani iliyosambazwa na Chadema hii hapa
Toa Maoni yako
Toa Maoni yako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Karibu sanaAsante Kwa taarifa
Mungu akuzidishieMimi ni mmoja miongoni mwao waliochangia
Mchango wako nao ni Tone ToneGraphic designer amefeli kidogo, DM me I can design your Graphics for free, ila chache sio za full time
Chadema hamna budi kujihakikishia usiri wa contacts/identity ya wachangiaji wenu!! Ccm are capable of using this data to sabotage your activities 😳😳Mimi ni mmoja miongoni mwao waliochangia
Chadema inachangiwa na wananchi wote, inawezekanaje ccm kuwaua wananchi wote? Ngoja tuoneChadema hamna budi kujihakikishia usiri wa contacts/identity ya wachangiaji wenu!! Ccm are capable of using this data to sabotage your activities 😳😳
Ccm to sabotage your activities sio lazima iwaue bali wanaweza kuwakatisha tamaa/wachangiaji hasa wafanyabiashara kwa mbinu mbali mbali!Chadema inachangiwa na wananchi wote, inawezekanaje ccm kuwaua wananchi wote? Ngoja tuone
Kuna Hati Hati ya Kupeleka Mswaada Wa Dharura kuhusi kuchangisha pesa😅😅😅
Hili limeshashindikana tena. Tone tone is beyond Avarage persons.Ccm to sabotage your activities sio lazima iwaue bali wanaweza kuwakatisha tamaa/wachangiaji hasa wafanyabiashara kwa mbinu mbali mbali!
Ingepelekwa hati ya dharura kurekebisha mfumo kandamizi wa Uchaguzi mkuu ili tupate Viongozi watakao chaguliwa na Wananchi.Kuna Hati Hati ya Kupeleka Mswaada Wa Dharura kuhusi kuchangisha pesa😅😅😅
Uliza sasa hela aliyolipwa, mamilioniGraphic designer amefeli kidogo, DM me I can design your Graphics for free, ila chache sio za full time
Haya tumekusikia, Lakini huu uzi unahusu ChademaHii michango inazidiwa na ya ACT wazalendo, walikusanya milioni 400 ndani ya siku moja, nadhani ACT sasa ndio chama kikubwa
Remember the concept of “Tone Tone” is supposed to be subscription hence continuous!! This is where the danger lies because they control the institutions that can access the sensitive data!Hili limeshashindikana tena. Tone tone is beyond Avarage persons.
Unateseka ukiwa Kibaigwa upande gani?Uliza sasa hela aliyolipwa, mamilioni
Comparative analysis (kama ulipita shule, ulikuwa hujifichi makorongoni ukivuta)Haya tumekusikia, Lakini huu uzi unahusu Chadema