Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Ni kweli lakini. Itakuwa roho mbaya kuzuia mtu anayejitoleaRemember the concept of “Tone Tone” is supposed to be subscription hence continuous!! This is where the danger lies because they control the institutions that can access the sensitive data!
Kwa hilo hutawaonaIngepelekwa hati ya dharura kurekebisha mfumo kandamizi wa Uchaguzi mkuu ili tupate Viongozi watakao chaguliwa na Wananchi.
Hapo v8 inapatikana nzuri tu!
Endelea kujilisha matango pori🤪🤪Hii michango inazidiwa na ya ACT wazalendo, walikusanya milioni 400 ndani ya siku moja, nadhani ACT sasa ndio chama kikubwa
😆😆😆😆😆Mkiniangalia vizuri hapo kwenye Mix by Yas mtaniona
Hiyo siyo kazi ya Tone ToneHapo v8 inapatikana nzuri tu!
Ndio kinachokuuma?Hapo v8 inapatikana nzuri tu!
Eng huwezi kukosaMkiniangalia vizuri hapo kwenye Mix by Yas mtaniona
Ndio nafurahi mgombea uraisi apate v8 sio aingie na mkokoteniNdio kinachokuuma?
Ccm ni chama cha mashetani! Toka lini she tani akawa na roho nzuri? Samia kamuua mzee Kibao mchana kweupe atashindwa kuua usiku?Ni kweli lakini. Itakuwa roho mbaya kuzuia mtu anayejitolea
Wananchi wengi sana bado wataendelea kuchangia haya mapambano, issue inaweza kuwa transparency on expenses. Tukiweza hilo la kubana matumizi na kuwa accountable kwa kile Tone inayopatikana, basi watanzania watakuwa nasi wenye vyama na wasio na vyama.
Chini ya Lissu, Lema Na Heche hili sio la kutilia shaka hata kidogoWananchi wengi sana bado wataendelea kuchangia haya mapambano, issue inaweza kuwa transparency on expenses. Tukiweza hilo la kubana matumizi na kuwa accountable kwa kile Tone inayopatikana, basi watanzania watakuwa nasi wenye vyama na wasio na vyama.
Mkuu usipende kuongea mambo ambayo huna uhakik nayo. Ukiwa hivyo usi quote comment yangu. Sitaki kuunganishwa kwenye kesiCcm ni chama cha mashetani! Toka lini she tani akawa na roho nzuri? Samia kamuua mzee Kibao mchana kweupe atashindwa kuua usiku?
Hahahaha......Sawa BwanaNdio nafurahi mgombea uraisi apate v8 sio aingie na mkokoteni
Hamia act we kinembeHii michango inazidiwa na ya ACT wazalendo, walikusanya milioni 400 ndani ya siku moja, nadhani ACT sasa ndio chama kikubwa
Mimi niko CDM na chechemela ndio mwenyekiti wanguHamia act we kinembe
Basi ngoja akupige bombaMimi niko CDM na chechemela ndio mwenyekiti wangu
ondoa shakaWananchi wengi sana bado wataendelea kuchangia haya mapambano, issue inaweza kuwa transparency on expenses. Tukiweza hilo la kubana matumizi na kuwa accountable kwa kile Tone inayopatikana, basi watanzania watakuwa nasi wenye vyama na wasio na vyama.