Mchanganuo wa Biashara (Business Plan) - REQUESTS

Mchanganuo wa Biashara (Business Plan) - REQUESTS

Mimi niko interested sana na hii business, probably tunaweza kuunganisha mawazo. Nitumie PM ili tupange utakapokuja Dar tuonane.
 
Mkuu hongera, mimi niko kwenye biashara ya alizeti tayari. Je unataka business plan ili ukope au ni kwa ajiri ya upembuzi yakinifu ktk kutaka kujiridhisha na kuona kuwa biashara inalipa?

Nakushauri usome website hii: www.entrepreneurmag.co.za

Watakusaidia sana katika kuandaa huo mchanganuo na vitu vingine vingi
The website is sooooo good, thank you for sharing.
 
naomba mwenye business plan yoyote naomba anisaidie..nataka kuangalia sample.niko naandaa ya kwangu lakini nimwekwama sehemu..

please inbox me..:A S-alert1:
 
Tafuta hii software Palo Alto Business Plan. Hii software ni the mother of all softwares when it comes to business plan everything SWOT analysis break even na kuna samples za plan za indrustries zote ambazo you can update it kwenye net..., nilikuwa nayo kipindi fulani ingawa inauzwa ila am sure kuna pirated copies..., try ask invisible au uliza mtu ambaye anayo... hii ni website for more info au google for Palo Alto Business Software Business Plan Software and Marketing Plan Software — Palo Alto Software
 
Mkuu kama unaharaka nayo google tu, andika "business plan samples" utazipata za kumwaga
Au check na link uliyopewa hapo juu
 
Thank you voice..
Hakuna neno just try to PM invisible labda anayo kwenye stock yake..., I highly recommend anyone anayeandika business plan kuwa nayo hii, kila kitu from marketing to financial aspects...., uzuri ni kwamba unapata sample ya industry yako, wewe unachofanya ni editing peke yake
 
Anza from scratch
Hapana mkuu hii software inakulead ili usifanye mistakes (its like having a map) lets say unataka biashara ya kufuga samaki..., inakulead kwenye opportunites, threats, strengths and weaknesses, pia kunakuwa kuna watu ambao wameshafuga samaki you can check their plans kwa muongozo

Pia kwenye calculations kuna mpaka plans zitakupa inabidi uuze unit moja kwa shs ngapi ili ubreak even au upate profit...,

unaweza ukapata information kwa mtaji kiasi gani utaanza kumake profit after how many years...., and the software generates all the graphs for you, am sure hata ukienda bank kuomba mkopo manager anaweza akakwambia rudi kesho ili aifanyie kazi hio plan mwenyewe 🙂

In short with this software you can do in 10 minutes what could have taken you 6 months
 
Wakuu...heshima kwenu

Natafuta mdau anayeweza kutayarisha financial part ya business plan kwa ajili ya apartments for rent business... yaani financing plan, projections, balance sheet, profit & loss, cash flows, sensitivity, repayment schedule/period na all associated spreadsheets na itapendeza zaidi kama kutakuwa na bar and pie charts illustrations

ninapendelea zaidi atakayetengeneza kwa kutumia accounting module/software in any format

i will give all necessary data and infos

please pm me soon for negotiations

urgently needed
 
LAT, onana na huyo loan officer wa hiyo bank ambayo unategemea kuchukua mkopo atakuonganishia kwa watu ambao wanaweza kutengeneza BS plan.
 
  • Thanks
Reactions: LAT
LAT wasiliana na huyu bwana anaitwa Makana, atakufanyia hiyo kazi kwa muda mfupi na gharama nafuu 0754 260 886
 
  • Thanks
Reactions: LAT
Back
Top Bottom