Mchanganuo wa Biashara (Business Plan) - REQUESTS

Na,i naomba msaada wa business plann, nataka kufanya biashala
1. Kwale / Quails
2. Sungura

Naomba hio b.plann za tofauti kila biashala na b.plann yake , ntashukulu sana kwa msaada wowote ntakaopata
 
kwa wale ambao ni wajasiriamali wadogo(mtaji chini ya 50m) nitawasaidia bure kuandika hiyo michanganuo,bila kujitolea hii nchi haitoendelea,kuna watu wana 5m na wanataka mchanguo wa biashara,akiweka gharama za kumlipa mtaalam hakika inauma,natumaini mtakaopata cha bure mtasadidia kwa kuwapa wengine ajira,mawasiliano:mous1701@gmail.com
 
Dah huu uzi mods wameuchanganya kweli kweli ila hawajatutemndea haki wengine ambao tulianzisha nyuzi zetu tofauti na huu lakini wamejumlisha comments zetu na za huyu ambaye wamemuweka na sijui vigezo gani vimetumika hapa.
 
Nataka kufungua back yard industries ya kukamua alizeti mtaji wangu 15,000,000 nataka bussiness plan
 
Mi Nina 500000nataka kufuga kuku wa mayai so mkuu naomba nisaidie bossiness plan
 
All da best an never give up brother utafanikiwa
 
Jaman,nlishasema nawasaidia watu Kuandika hizo plan bure,kwenye pm bado watu wazito maana ukisema unataka alafu unaulizwa maswali usijibu unataka nini?kwa experience yangu spaswi kutoa bure lakini ni moyo unanituma di mwili
 
Pia hakkisha soko liwepo ili usije ukaanza project hujui end user wa product zako
 
1701 nina miliioni 6 naomba unisaidie plan ninaweza kufanya biashara gani?niko musoma mjini
 
Jaman,nlishasema nawasaidia watu Kuandika hizo plan bure,kwenye pm bado watu wazito maana ukisema unataka alafu unaulizwa maswali usijibu unataka nini?kwa experience yangu spaswi kutoa bure lakini ni moyo unanituma di mwili
Mkuu 1701 shukrani kwanza kwa moyo mkunjufu....

Nadhani ungeweka orodha ya vinavyohitajika katika kuandaa BP ili mtu akikufuata aje na majibu kamili.
 
Last edited by a moderator:

hapa ndipo jf inapokuwa mkombozi wa watanzania. kila kitu unapata, live long jf.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…