Arsenalist1
Senior Member
- Jul 13, 2015
- 163
- 50
Asante kwa LinkMkuu hongera, mimi niko kwenye biashara ya alizeti tayari. Je unataka business plan ili ukope au ni kwa ajiri ya upembuzi yakinifu ktk kutaka kujiridhisha na kuona kuwa biashara inalipa?
Nakushauri usome website hii: www.entrepreneurmag.co.za
Watakusaidia sana katika kuandaa huo mchanganuo na vitu vingine vingi
Sawa mkuuKaribu sana na napenda kuwaaambia kwamba we have the best rates ever in town.
Na sasa tuko kwenye promotion the first 16 client will get 50% discount of the normal rate. kesho will tell more about this offer
karibuni sana
Mkuu mnatoa training ya jinsi ya kuandaa Business plan au mnamuandalia mteja na kumuuzia?Dear Caroline,
Nasikitika sana kwa kutoa habari zisizo na ukweli. Hatujawahi hata kumtoza mtu hata zaidi ya 5% na sijui hizo rate zako umezipata wapi.
Pole sana kama ulikutana na watu wengine wakajitambulisha wanatoka kwetu. Kwa hakika piga simu 0715737302 ama 0784 737302 utaongea na mkurugenzi wetu.
We have very competitive rates you will never have anywhere in Tanzania.
Karibu kwa maongezi na ujionee mwenyewe badala ya kusikiliza ya watu
Mkuu nenda www.bplans.com zipo sample za kutoshaNaomba msaada WA kuisoma na kuijua hii bussinees plan ipoje naomba nitumiwe nione jinsi ilivyo mwenye nayo
Nataka kufungua biashara ya kiwanda cha maji need a business planKwa wale wote waliopo ndani na nje ya Tanzania wenye nia ya kuanzisha kampuni Tanzania lakini hawajui waanzie wapi GM Business Develepment Consult ltd watakupatia jibu
Kwa wale tayari wapo kwenye biashara lakini hawana mpango wa biashara(business Plan) na wala hawajui waanzie wapi GM Bus. Dev. Consult Ltd wanalo jibu.
Kwa wale wenye kuandaa mijadala, workshops, mikutano lakini wangependa kusaidiwa kuiandaa mijadala/workshops/Mikutano kutana nasi kwani tunaouzoefu wa kimataifa.
kwa huduma zetu mbali mbali na maelezo zaidi wasiliana nasi
Mkurugenzi
GM Business Development Consult Ltd
P.O.Box 62297 Dsm
simu 0715 737302 ama 0784 737302
barua pepe info@gmconsultz.com
tovuti www.gmconsultz.com
awaKwa wale wote waliopo ndani na nje ya Tanzania wenye nia ya kuanzisha kampuni Tanzania lakini hawajui waanzie wapi GM Business Develepment Consult ltd watakupatia jibu
Kwa wale tayari wapo kwenye biashara lakini hawana mpango wa biashara(business Plan) na wala hawajui waanzie wapi GM Bus. Dev. Consult Ltd wanalo jibu.
Kwa wale wenye kuandaa mijadala, workshops, mikutano lakini wangependa kusaidiwa kuiandaa mijadala/workshops/Mikutano kutana nasi kwani tunaouzoefu wa kimataifa.
kwa huduma zetu mbali mbali na maelezo zaidi wasiliana nasi
Mkurugenzi
GM Business Development Consult Ltd
P.O.Box 62297 Dsm
simu 0715 737302 ama 0784 737302
barua pepe info@gmconsultz.com
tovuti www.gmconsultz.com
Kirahisi rahisi tu?Habari wana jamvi!!!!
rejea kicha ya uzi huu,,, nahitaji msaada jinsi ya kuandaa business plan au organisation profile ,,, mwenye sample akinitumia itakua vyema sana
Kazi ipo.Wabongo tunapenda vitu vya bure ktk mambo ambayo wengine ni kazi... Utadhani tunaomba maji ya kunywa nyumbani kwa mtu... Kumbe wenzio wamewekeza mda, maarifa na pengine wanalipa kodi serikalini, kodi ya pango nk. Watanzania ukiona kuna maarifa huna na unahitaji sana, tuache kudhania mawazo ya burebure ndio muokozi, yes yapo mambo ya kusaidiana, lakini sio yale ya kiundani kabisa mfano mtu anaomba apewe business plan ya mtu ili yeye aagilizie? Tabia ya wapi hii? Tumetoka nayo mashuleni tulipokuwa tunaigilizia majibu ya mitihani, na mtu alikuwa akikunyima unakasirika na kumsema, ...any way vema tukasaidiana na pale inapobidi tuchangiane kinachopangwa... Kama hujui kuandika Bplan, hata ukipewa sample ni kazi bure.