Mchanganuo wa Biashara (Business Plan) - REQUESTS

Mchanganuo wa Biashara (Business Plan) - REQUESTS

Mimi nimebobea kwenye uandishi wa Business Plan lakini hata bado nikiwa bado najifunza sijawahi kuandika business plan kwa kati ya 20,000 na laki mbili. Serious business plan lazima iendane na feasibility study hata kama unazotemplates za kutosha. lazima ujiridhishe unachooandika kinaendana na reality on the ground so nadoubt kubwa sana na the so called Proffessional Business Plan kwa kati ya 20,000 na laki mbili

Ajira hakuna mkuu, hiyo inaitwa vuna vuna au pesa chap chap. Makanjanja wapo wengi dunia hii
 
Jamaani tuna jaji ubora kulinganisha na bei! Hiyo siyo sahihi unajua biashara ushindani fahamu hivyo .
Huyo mwenye bei kubwa tayari ana jina ndiyo sababu ana taka bei kubwa na kipindi hicho wataaramu walikua wachache bei yoyote hata iwe kubwa
ilionekana ndiyo bei sahihi.
Nina mifano mingi ina weza kuwa saidia kwani mimi na fanya biasha na nilipo anza nilikutana na kama haya kwa wale washindani wako.
 
Mkuu hongera, mimi
niko kwenye biashara ya alizeti tayari. Je unataka business plan ili
ukope au ni kwa ajiri ya upembuzi yakinifu ktk kutaka kujiridhisha na
kuona kuwa biashara inalipa?

Nakushauri usome website hii:
www.entrepreneurmag.co.za

Watakusaidia sana katika kuandaa huo mchanganuo na vitu vingine
vingi

asantae mkuu,MUNGU AKUBARIKI.umesaidia wengi kwa hyo link uliyo toa.
 
Mimi nipo dar es salaam,wilaya ya kinondoni,jimbo la ubungo,Kata ya msewe.
Nahitji kuandikiwa business plan kwa ajili ya company yangu.
Nipigie +255768811075
Naitwa juma Tearish.
 
Mimi nipo dar es salaam,wilaya ya kinondoni,jimbo la ubungo,Kata ya msewe.
Nahitji kuandikiwa business plan kwa ajili ya company yangu.
Nipigie +255768811075
Naitwa juma Tearish.

Ni PM Tuzungumze
 
Tunaandaa Business plans, Audited Financial statements and Management accounts.
Kwa wale wafanyabiashara hususan wale wanaoomba mikopo tunawasaidia kuaandaa documents zote zinazotakiwa kwa maombi ya mkopo.
Kwa masiliano zaidi:
0714099916 or 0755300942
 
Wadau,

Wale ambao tunahangaika na biashara na harakati za kujikwamua kwa kufanya biashara au shughuli zetu kitaalam, now it is a time.

Kwa wanaohitaji vitu vifuatavyo:

a. Business Plan - Tunaaandika business plan nzuri sana za aina mbalimbali bei inategemeana na aina ila inaazia Tsh 150,000/=

b. Business/Service Proposal - Kuna unahitaji kufanya biashara na mtu/kampuni na unahitaji kumpa ' proposal' ya biashara yako iliyoandikwa kitaalam bei Tsh 200,000/-

c. Memorandum & Article of Association - Tunakutengenezea hii kwa ajili ya kufungua kampuni bei ni kuanzia Tsh 200,000/= tunaweza kumaliza na huduma nyingine zoote za company registration

d. NGO Documentation, - Tunatengeza documents za Ngo kama vile katiba, HR Manual, na registration support bei inaanzia Tsh 200,000/=

Karibuni nyote, bei zetu ndogo ni kwa kuwa tunataka kusapoti moyo wa ujasiriamali haswa haswa kwa vijana.

Mawasiliano,

emicoltd80@gmail.com, +255 754 237973
 
Back
Top Bottom