Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
asante kwa kuwa na moyo wakukomboa vijana kwa bei zenu za chini .Jambo muhimu ni kufanya kazi kwa uaminifu na kukamilisha kile mteja anahitaji kwa muda mfupi
Hivi wadau hata mamantilie anahitaji b.plan
au.......
Kwa maoni yangu kila mtu mwenye mipango endelevu ya ukuaji wa biashara yake anahitaji biz plan japo kwa mama ntilie yaweza kuwa simple tu...
i want to open an online shop selling books, magazines and music.. do i need one?
mnatoa na ushauri, mnaishia kuandika tu hayo mambo?
Tutakutafuta soon!mimi nataka buz plan 2!moja ya ufugaji wa kuku wa kisasa wa mayai na nyama naingine ya transport!nitaanza na Kuku kwanza!nitakutafuta Mkuu!

dada nimekukubali si kidogo. nicall 0713 039875 au 0766 643934 napenda uwe mshauri wangu.
Habari wana Jf.
Nimejaribu kwa kadri ya uwezo wangu kuandaa wazo la biashara (business plan) ila nahisi kuwa ninakosea.
Tafadhari wanataaluma nisaidie hata zile general principles ili niandike andiko hili.
Tayari ninawazo, kuliweka katika maandishi imekuwa tatizo.
Nisaidieni bila dhihaka.
Habari wana Jf.
Nimejaribu kwa kadri ya uwezo wangu kuandaa wazo la biashara (business plan) ila nahisi kuwa ninakosea.
Tafadhari wanataaluma nisaidie hata zile general principles ili niandike andiko hili.
Tayari ninawazo, kuliweka katika maandishi imekuwa tatizo.
Nisaidieni bila dhihaka.