Mchanganuo wa biashara ya kuingiza faida ya 150,000/= kwa siku/ 4,400,000 kwa mwezi

Mchanganuo wa biashara ya kuingiza faida ya 150,000/= kwa siku/ 4,400,000 kwa mwezi

Shomary47

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2021
Posts
233
Reaction score
359
Nawasalimu kwa jina la muungano wa Jamhuri ya Tanzania,

Nimekua nikifatilia threads mbalimbali za biashara humu, Wengi naona wanasema ili kuingiza faida kubwa Kwa siku basi ni lazima Uwe na Mtaji Mkubwa, wengine walitoa mifano ya Anaemiliki duka la hardware ana mtaji nkubwa lakini hafikishi faida kadhaa.

Leo napenda Kutolea Mifano ya biashara ya kusambaza mayai ya Kisasa kwa wateja/watumiaji tega sikio Vyema.

Biashara Yoyote ya Kumtafuta mteja ukamuhudumia inakua na mzunguko mkubwa, So tukianza na biashara ya Kusambaza Mayai, apa utatakiwa kuwa na mtaji wa Millioni 6 (6,000,000). Hapa utatakiwa kununua Pikipiki used kwa Dar ziko nyingi, hakikisha tu unapata mali halali, Pikipiki hizi utazipata kwa Laki 8 kila moja (used) 800,000 x 3 = 2,400,000/=

Pesa kwaajili ya fremu yako ya biashara, Tafuta eneo lenye Mzunguko mkubwa wa watu, mfano karibu na soko au Stendi. Aoa kodi utalipa elf 80,000 kwa mwezi. Utalipia kodi ya miezi mitatu ambayo ni 80,000 x 3 = 240,000/=

Then tafuta meneja masoko wako na vijana wasambazaji. Wewe na meneja masoko wako mtahakikisha mnapata machimbo ya wafugaji ambapo mtapata mayai Kwa bei ya jumla yakutosha, hakikisha unakua na Machimbo hata matano Ya uhakika. Hapa tenga 3,500,000/= kama mtaji wa Mayai.

Kwa Upande wa Wasambazaji Utawawekea Limit kila mmoja auze angalau trei 45 na zaidi kila siku. Na isiwe chini ya hapo. Hapa
Utawafanyia training kuhusu marketing, jinsi ya kumuaproach mteja na Kumbuka lazima uwe unajua target market Yako. na utawapangia maeneo ya kila mmoja kutembembelea. Mfano target market yako itakua wauza chips, Bekari, mahoteli, wauza maduka, wapika vitumbua n.k

So baada ya kufanya yote haya kazi zitaanza:-

Pikipiki 3:- @auze trei 45 na zaidi kwa siku
45 x 3 = 135(Jumla ya trei zinazotakiwa Kuuzwa Kwa siku)

kila trei moja faida itachezea kwenye 1,000 - 1,200
Na kuna baadhi ya trei zitauzwa pale pale ofisini tuseme trei 15 tu ziuzwe ofisini.
Jumla zitakua trei 150 mauzo ya siku.

150 x 1,200 = 180,000/=(Hii ni faida ya siku moja baada Ya kuuza hizo idadi ya trei)

Matumizi tunakadilia kwenye mafuta, chalula ni kama 25,000 kwa siku. Tukitoa inabaki 155,000/=

Ambapo ofisini kwako utalipa wafanyakazi kwa siku 31 ambao ni mwezi mmoja.

155,000 x 31 = 4,805,000 (faida)

Hapa tukitoa Matumizi, mishahara pamoja na hasara. itabaki kama 4,400,000/=(Hela ya bosi)

4,400,000 Monthly Profit.

NAKARIBISHA MAWAZO NA KUKOSOLEWA KAMA NIMEKOSEA ASANTE.

1619421537527.png

 
Hiyo biashara iko risky sana kumbuka mayaye hupasuka kuna mambovu, pia vijana wa siku hizi huwezi kulipa 1000 azunguke siku nzima
Wanasambazia kwa kutumia pikipiki, na wanalipwa kwa mwezi.
 
Umewaza vizuri sanaa... Ila tafuta tu laki tatu... Ujiwekee kiwango cha kuuza tray kumi na tano kwa siku mwenyewe ukishaweza hilo, uje kuupdate uzi mkuu
Hii nishawah kuifanya, But kuna changamoto baadhi nilipata nikasimama, By then nilkua na vijana wa baskeli, ila walikua hawafanyi vizuri, niliibiwa vofaa vyote, Now nina plan za kuanza kama.nilivochanganua hapo.
 
Mkuu ukifanya calculations kama hizo bila kuweka risks na mitigation approach zake bado hujafika kwenye uhalisia. Lazima uweke hizo factors. Lakini pia, kwenye maeneo yenye mzunguko mkubwa wa pesa bei ya fremu ziko juu. Baadhi ya risks kwa uchache ni kama ifuatavyo:
1. Uaminifu mdogo kwa wafanya kazi wako
2. Kwa kuwa utanunua pikipiki used, kuna risks kubwa zitaharibika na hivyo kupelekea downtime za hapa na pale
3. Kuna baadhi ya siku kuna mvua, traffic barabara, mayai mabovu
4. Kukopwa na mteja wako na mwisho wake hakulipi

Anyway, ni mawazo yangu na experience yangu kwa hii nchi.
 
Mkuu ukifanya calculations kama hizo bila kuweka risks na mitigation approach zake bado hujafika kwenye uhalisia. Lazima uweke hizo factors. Lakini pia, kwenye maeneo yenye mzunguko mkubwa wa pesa bei ya fremu ziko juu. Baadhi ya risks kwa uchache ni kama ifuatavyo:
1. Uaminifu mdogo kwa wafanya kazi wako
2. Kwa kuwa utanunua pikipiki used, kuna risks kubwa zitaharibika na hivyo kupelekea downtime za hapa na pale
3. Kuna baadhi ya siku kuna mvua, traffic barabara, mayai mabovu
4. Kukopwa na mteja wako na mwisho wake hakulipi

Anyway, ni mawazo yangu na experience yangu kwa hii nchi.
Hakuna biashara isio na changamoto mkuu, Na Hizo risk ziko calculated kabisa, Maintanance za Pikpk pia ziko calculated hapo na gharama zingine zote. Sababu Mayai ni Fast moving product, watu wanakula saana chips mayai.

Pia nii ni Plan B ya ufugaji wa Kuku wa mayai kibiashara. Hapa tumetegeneza Soko la Mfugaji anaefuga Kuku na hajui wapi atapata wateja. So Badala ya kua mfugaji wa kuku waweza angalia upande wa Pili wa Shilingi, baada ya kufuga hao kuku end product yake ni ipi?! Ofcoz ni mayai, unatafuta market ya hiyo product,
 
Nawasalimu kwa jina la muungano wa Jamhuri ya Tanzania,

Nimekua nikifatilia threads mbalimbali za biashara humu, Wengi naona wanasema ili kuingiza faida kubwa Kwa siku basi ni lazima Uwe na Mtaji Mkubwa, wengine walitoa mifano ya Anaemiliki duka la hardware ana mtaji nkubwa lakini hafikishi faida kadhaa.

Leo napenda Kutolea Mifano ya biashara ya kusambaza mayai ya Kisasa kwa wateja/watumiaji tega sikio Vyema.

Biashara Yoyote ya Kumtafuta mteja ukamuhudumia inakua na mzunguko mkubwa, So tukianza na biashara ya Kusambaza Mayai, apa utatakiwa kuwa na mtaji wa Millioni 6 (6,000,000). Hapa utatakiwa kununua Pikipiki used kwa Dar ziko nyingi, hakikisha tu unapata mali halali, Pikipiki hizi utazipata kwa Laki 8 kila moja (used) 800,000 x 3 = 2,400,000/=

Pesa kwaajili ya fremu yako ya biashara, Tafuta eneo lenye Mzunguko mkubwa wa watu, mfano karibu na soko au Stendi. Aoa kodi utalipa elf 80,000 kwa mwezi. Utalipia kodi ya miezi mitatu ambayo ni 80,000 x 3 = 240,000/=

Then tafuta meneja masoko wako na vijana wasambazaji. Wewe na meneja masoko wako mtahakikisha mnapata machimbo ya wafugaji ambapo mtapata mayai Kwa bei ya jumla yakutosha, hakikisha unakua na Machimbo hata matano Ya uhakika. Hapa tenga 3,500,000/= kama mtaji wa Mayai.

Kwa Upande wa Wasambazaji Utawawekea Limit kila mmoja auze angalau trei 45 na zaidi kila siku. Na isiwe chini ya hapo. Hapa
Utawafanyia training kuhusu marketing, jinsi ya kumuaproach mteja na Kumbuka lazima uwe unajua target market Yako. na utawapangia maeneo ya kila mmoja kutembembelea. Mfano target market yako itakua wauza chips, Bekari, mahoteli, wauza maduka, wapika vitumbua n.k

So baada ya kufanya yote haya kazi zitaanza:-

Pikipiki 3:- @auze trei 45 na zaidi kwa siku
45 x 3 = 135(Jumla ya trei zinazotakiwa Kuuzwa Kwa siku)

kila trei moja faida itachezea kwenye 1,000 - 1,200
Na kuna baadhi ya trei zitauzwa pale pale ofisini tuseme trei 15 tu ziuzwe ofisini.
Jumla zitakua trei 150 mauzo ya siku.

150 x 1,200 = 180,000/=(Hii ni faida ya siku moja baada Ya kuuza hizo idadi ya trei)

Matumizi tunakadilia kwenye mafuta, chalula ni kama 25,000 kwa siku. Tukitoa inabaki 155,000/=

Ambapo ofisini kwako utalipa wafanyakazi kwa siku 31 ambao ni mwezi mmoja.

155,000 x 31 = 4,805,000 (faida)

Hapa tukitoa Matumizi, mishahara pamoja na hasara. itabaki kama 4,400,000/=(Hela ya bosi)

4,400,000 Monthly Profit.

NAKARIBISHA MAWAZO NA KUKOSOLEWA KAMA NIMEKOSEA ASANTE.
Mbona sijaona
1. Mishara kwa vijana watatu na meneja masoko
2. Gharama za frame zikitokewa kwenye hiyo faida.
3. Gharama ya tray tupu
4. Gharama ya matengenezo ya pikipiki
5. Unforeseens ..mayai kupasuka, kuharibika, mteja kuchukua kwa mkopo na kutolipa hela
 
Nawasalimu kwa jina la muungano wa Jamhuri ya Tanzania,

Nimekua nikifatilia threads mbalimbali za biashara humu, Wengi naona wanasema ili kuingiza faida kubwa Kwa siku basi ni lazima Uwe na Mtaji Mkubwa, wengine walitoa mifano ya Anaemiliki duka la hardware ana mtaji nkubwa lakini hafikishi faida kadhaa.

Leo napenda Kutolea Mifano ya biashara ya kusambaza mayai ya Kisasa kwa wateja/watumiaji tega sikio Vyema.

Biashara Yoyote ya Kumtafuta mteja ukamuhudumia inakua na mzunguko mkubwa, So tukianza na biashara ya Kusambaza Mayai, apa utatakiwa kuwa na mtaji wa Millioni 6 (6,000,000). Hapa utatakiwa kununua Pikipiki used kwa Dar ziko nyingi, hakikisha tu unapata mali halali, Pikipiki hizi utazipata kwa Laki 8 kila moja (used) 800,000 x 3 = 2,400,000/=

Pesa kwaajili ya fremu yako ya biashara, Tafuta eneo lenye Mzunguko mkubwa wa watu, mfano karibu na soko au Stendi. Aoa kodi utalipa elf 80,000 kwa mwezi. Utalipia kodi ya miezi mitatu ambayo ni 80,000 x 3 = 240,000/=

Then tafuta meneja masoko wako na vijana wasambazaji. Wewe na meneja masoko wako mtahakikisha mnapata machimbo ya wafugaji ambapo mtapata mayai Kwa bei ya jumla yakutosha, hakikisha unakua na Machimbo hata matano Ya uhakika. Hapa tenga 3,500,000/= kama mtaji wa Mayai.

Kwa Upande wa Wasambazaji Utawawekea Limit kila mmoja auze angalau trei 45 na zaidi kila siku. Na isiwe chini ya hapo. Hapa
Utawafanyia training kuhusu marketing, jinsi ya kumuaproach mteja na Kumbuka lazima uwe unajua target market Yako. na utawapangia maeneo ya kila mmoja kutembembelea. Mfano target market yako itakua wauza chips, Bekari, mahoteli, wauza maduka, wapika vitumbua n.k

So baada ya kufanya yote haya kazi zitaanza:-

Pikipiki 3:- @auze trei 45 na zaidi kwa siku
45 x 3 = 135(Jumla ya trei zinazotakiwa Kuuzwa Kwa siku)

kila trei moja faida itachezea kwenye 1,000 - 1,200
Na kuna baadhi ya trei zitauzwa pale pale ofisini tuseme trei 15 tu ziuzwe ofisini.
Jumla zitakua trei 150 mauzo ya siku.

150 x 1,200 = 180,000/=(Hii ni faida ya siku moja baada Ya kuuza hizo idadi ya trei)

Matumizi tunakadilia kwenye mafuta, chalula ni kama 25,000 kwa siku. Tukitoa inabaki 155,000/=

Ambapo ofisini kwako utalipa wafanyakazi kwa siku 31 ambao ni mwezi mmoja.

155,000 x 31 = 4,805,000 (faida)

Hapa tukitoa Matumizi, mishahara pamoja na hasara. itabaki kama 4,400,000/=(Hela ya bosi)

4,400,000 Monthly Profit.

NAKARIBISHA MAWAZO NA KUKOSOLEWA KAMA NIMEKOSEA ASANTE.
Ni ngumu sana kila kijana kuuza tray 45 kwa siku, kuna kipindi nilikuwa naona wakurya wa kitunda wanazunguka na mayai siku nzima msasani, kinondoni na kwingineko na haya ndo maeneo ya wala chipsi kwa Dar. Tray 5 mpaka 10 kwa siku anaweza kuuza.

Mimi niliwahi kufikiria kufuga kuku wa mayai alafu nakuwa na vijana watano ambao kila mmoja kwa siku atatoka na tray tatu za mayai ya kuchemsha kwa bei ya shilingi ya 500 kwa yai.

Hapo kila mmoja jioni anarudi na shilingi 45,000/= kumbuka haya mayai ungeuza mabichi ungepata shilingi 15,000/= mpaka 18. Kwa vijana watano unakuwa unaingiza 225K. Nadhani kuna faida kubwa kuliko kuuza mabichi
 
Ni ngumu sana kila kijana kuuza tray 45 kwa siku, kuna kipindi nilikuwa naona wakurya wa kitunda wanazunguka na mayai siku nzima msasani, kinondoni na kwingineko na haya ndo maeneo ya wala chipsi kwa Dar. Tray 5 mpaka 10 kwa siku anaweza kuuza. Mimi niliwahi kufikiria kufuga kuku wa mayai alafu nakuwa na vijana watano ambao kila mmoja kwa siku atatoka na tray tatu za mayai ya kuchemsha kwa bei ya shilingi ya 500 kwa yai. Hapo kila mmoja jioni anarudi na shilingi 45,000/= kumbuka haya mayai ungeuza mabichi ungepata shilingi 15,000/= mpaka 18. Kwa vijana watano unakuwa unaingiza 225K. Nadhani kuna faida kubwa kuliko kuuza mabichi
Huo ni mchanganuo Wa biashara Ya kuuza mayai Kwa trei sio ya kuchemsha. Tunawauzia wachoma chips, bakery, maduka na mahoteli na sehemu Kote ambako mayai yanatumika
 
Back
Top Bottom