Mchanganuo wa biashara ya kuingiza faida ya 150,000/= kwa siku/ 4,400,000 kwa mwezi

Mchanganuo wa biashara ya kuingiza faida ya 150,000/= kwa siku/ 4,400,000 kwa mwezi

Mbona sijaona
1. Mishara kwa vijana watatu na meneja masoko
2. Gharama za frame zikitokewa kwenye hiyo faida.
3. Gharama ya tray tupu
4. Gharama ya matengenezo ya pikipiki
5. Unforeseens ..mayai kupasuka, kuharibika, mteja kuchukua kwa mkopo na kutolipa hela
Gharama zote zimeweka Huko mkali. Kwa siku Gharama za mafuta pikipiki tatu tumekafilia kila pikipik tuweke mafuta ya sh.7000. inakua 21,000 jumla, Chakula inakua 5,000
 
Ni ngumu sana kila kijana kuuza tray 45 kwa siku, kuna kipindi nilikuwa naona wakurya wa kitunda wanazunguka na mayai siku nzima msasani, kinondoni na kwingineko na haya ndo maeneo ya wala chipsi kwa Dar. Tray 5 mpaka 10 kwa siku anaweza kuuza. Mimi niliwahi kufikiria kufuga kuku wa mayai alafu nakuwa na vijana watano ambao kila mmoja kwa siku atatoka na tray tatu za mayai ya kuchemsha kwa bei ya shilingi ya 500 kwa yai. Hapo kila mmoja jioni anarudi na shilingi 45,000/= kumbuka haya mayai ungeuza mabichi ungepata shilingi 15,000/= mpaka 18. Kwa vijana watano unakuwa unaingiza 225K. Nadhani kuna faida kubwa kuliko kuuza mabichi
Wazo lako ni zuri alafu pia ni realistic...
 
Mtu kama hujawai kufanya biashara ni lazima uwe na picha ya faida kubwa kubwa kichwani, ila ukiingia kwenye biashara ndio utajua hayo mawazo yalikua potofu, bahati mbaya wengi wanaamini ukishamiliki biashara basi kila siku ni faida, Ukitaka kupanda ngazi sharti uanze kukanyaga ngazi za chini, vinginevyo utapasuka msamba.
 
Nawasalimu kwa jina la muungano wa Jamhuri ya Tanzania,

Nimekua nikifatilia threads mbalimbali za biashara humu, Wengi naona wanasema ili kuingiza faida kubwa Kwa siku basi ni lazima Uwe na Mtaji Mkubwa, wengine walitoa mifano ya Anaemiliki duka la hardware ana mtaji nkubwa lakini hafikishi faida kadhaa.

Leo napenda Kutolea Mifano ya biashara ya kusambaza mayai ya Kisasa kwa wateja/watumiaji tega sikio Vyema.

Biashara Yoyote ya Kumtafuta mteja ukamuhudumia inakua na mzunguko mkubwa, So tukianza na biashara ya Kusambaza Mayai, apa utatakiwa kuwa na mtaji wa Millioni 6 (6,000,000). Hapa utatakiwa kununua Pikipiki used kwa Dar ziko nyingi, hakikisha tu unapata mali halali, Pikipiki hizi utazipata kwa Laki 8 kila moja (used) 800,000 x 3 = 2,400,000/=

Pesa kwaajili ya fremu yako ya biashara, Tafuta eneo lenye Mzunguko mkubwa wa watu, mfano karibu na soko au Stendi. Aoa kodi utalipa elf 80,000 kwa mwezi. Utalipia kodi ya miezi mitatu ambayo ni 80,000 x 3 = 240,000/=

Then tafuta meneja masoko wako na vijana wasambazaji. Wewe na meneja masoko wako mtahakikisha mnapata machimbo ya wafugaji ambapo mtapata mayai Kwa bei ya jumla yakutosha, hakikisha unakua na Machimbo hata matano Ya uhakika. Hapa tenga 3,500,000/= kama mtaji wa Mayai.

Kwa Upande wa Wasambazaji Utawawekea Limit kila mmoja auze angalau trei 45 na zaidi kila siku. Na isiwe chini ya hapo. Hapa
Utawafanyia training kuhusu marketing, jinsi ya kumuaproach mteja na Kumbuka lazima uwe unajua target market Yako. na utawapangia maeneo ya kila mmoja kutembembelea. Mfano target market yako itakua wauza chips, Bekari, mahoteli, wauza maduka, wapika vitumbua n.k

So baada ya kufanya yote haya kazi zitaanza:-

Pikipiki 3:- @auze trei 45 na zaidi kwa siku
45 x 3 = 135(Jumla ya trei zinazotakiwa Kuuzwa Kwa siku)

kila trei moja faida itachezea kwenye 1,000 - 1,200
Na kuna baadhi ya trei zitauzwa pale pale ofisini tuseme trei 15 tu ziuzwe ofisini.
Jumla zitakua trei 150 mauzo ya siku.

150 x 1,200 = 180,000/=(Hii ni faida ya siku moja baada Ya kuuza hizo idadi ya trei)

Matumizi tunakadilia kwenye mafuta, chalula ni kama 25,000 kwa siku. Tukitoa inabaki 155,000/=

Ambapo ofisini kwako utalipa wafanyakazi kwa siku 31 ambao ni mwezi mmoja.

155,000 x 31 = 4,805,000 (faida)

Hapa tukitoa Matumizi, mishahara pamoja na hasara. itabaki kama 4,400,000/=(Hela ya bosi)

4,400,000 Monthly Profit.

NAKARIBISHA MAWAZO NA KUKOSOLEWA KAMA NIMEKOSEA ASANTE.
Mkuu biashara za kwenye maandishi huwa ni rahisi sana, na tamu munooo!!ingia kwenye field ndio utakuta mambo ni tofauti sana hasa kwa biashara zetu hizi za kiswahili!!mfano unadhania kijana mmoja kuuza trey 45 za mayai kwa siku ni kazi rahisi hivyo?!!
Mfano dar, hiyo fremu iliyopo karibu na soko wapi utaipata kwa 80, 000?
Hizo pikipiki zenyewe ni biashara pasua kichwa sana tu.
 
Mtu kama hujawai kufanya biashara ni lazima uwe na picha ya faida kubwa kubwa kichwani, ila ukiingia kwenye biashara ndio utajua hayo mawazo yalikua potofu, bahati mbaya wengi wanaamini ukishamiliki biashara basi kila siku ni faida, Ukitaka kupanda ngazi sharti uanze kukanyaga ngazi za chini, vinginevyo utapasuka msamba.
Yaah million 4.4 faida Ni kubwa Sana kwenye hiyo biashara watu wengi wangezama Sana huko.

Ila kwangu ninavyoona Kwanza haina haja kuchukua pikipiki tatu zote hizo moja tu inatosha ambayo utaitengenezea kisehemu pale nyuma Cha kuchukulia trey hata 30 au 20 za kusambaza kwa wateja ukimaliza unarudi ofisin kuchukua tena mzigo mpya.
Na all in all ni biashara nzuri Kama ukipata wateja wengi Hawa wengine wasikukatishe tamaa mkuu.

Na ili kuepukana na mayai yaliyoharibika itabidi upate supplier mwaminifu au uwe na kifaa Cha kupimia hayo mayai ili uwe mwaminifu kwa wateja wako.
Maana supplier wako anaweza siku moja kukuchenjia akakuwekea mayai viza yote na ukapata hasara.

Na kingine Kumbuka hutaweza kuuza mayai trey 45 kila siku Kumbuka Kuna kupanda na kushuka labda Leo trey 20 siku inayofuata trey 15 na Tena trey 30 au 40 kwa kila kijana au hata trey 50 kwa hiyo angalia Hilo kwanza na jiwekee kiwango Cha chini mauzo yasishuke trey 20 au 15 kwa kila kijana Ila Kama yakipanda itakuwa sawa.
Na ukitaka kuongeza faida utaanzisha hapohapo biashara ya mayai ya kuchemsha ambapo utakuwa na Vijana wa kukusambazia mayai na mengine kuuzwa hapo hapo dukani.
 
Yaah million 4.4 faida Ni kubwa Sana kwenye hiyo biashara watu wengi wangezama Sana huko.

Ila kwangu ninavyoona Kwanza haina haja kuchukua pikipiki tatu zote hizo moja tu inatosha ambayo utaitengenezea kisehemu pale nyuma Cha kuchukulia trey hata 30 au 20 za kusambaza kwa wateja ukimaliza unarudi ofisin kuchukua tena mzigo mpya.
Na all in all ni biashara nzuri Kama ukipata wateja wengi Hawa wengine wasikukatishe tamaa mkuu.

Na ili kuepukana na mayai yaliyoharibika itabidi upate supplier mwaminifu au uwe na kifaa Cha kupimia hayo mayai ili uwe mwaminifu kwa wateja wako.
Maana supplier wako anaweza siku moja kukuchenjia akakuwekea mayai viza yote na ukapata hasara.
Hawa wateja utakaowahudumia haraka haraka hivyo wanatoka wapi ghafla hivyo? Unafikiri wakati ambao wewe ulikua hujaingia kwenye hio huduma wao walikua hawapati hio huduma? Kama walikua wanaipata basi hapo ndio kuna kazi, ni uchukue miezi kadhaa ndio wateja waanze kuielewa huduma yako, sababu wao pia walikua na mahali wanaipata hio huduma na hawawezi tu kuhama ghafla na kununua bidhaa yako wakati haujaongeza dhamani yoyote kwayo.
 
Yaah million 4.4 faida Ni kubwa Sana kwenye hiyo biashara watu wengi wangezama Sana huko.

Ila kwangu ninavyoona Kwanza haina haja kuchukua pikipiki tatu zote hizo moja tu inatosha ambayo utaitengenezea kisehemu pale nyuma Cha kuchukulia trey hata 30 au 20 za kusambaza kwa wateja ukimaliza unarudi ofisin kuchukua tena mzigo mpya.
Na all in all ni biashara nzuri Kama ukipata wateja wengi Hawa wengine wasikukatishe tamaa mkuu.

Na ili kuepukana na mayai yaliyoharibika itabidi upate supplier mwaminifu au uwe na kifaa Cha kupimia hayo mayai ili uwe mwaminifu kwa wateja wako.
Maana supplier wako anaweza siku moja kukuchenjia akakuwekea mayai viza yote na ukapata hasara.

Na kingine Kumbuka hutaweza kuuza mayai trey 45 kila siku Kumbuka Kuna kupanda na kushuka labda Leo trey 20 siku inayofuata trey 15 na Tena trey 30 au 40 kwa kila kijana au hata trey 50 kwa hiyo angalia Hilo kwanza na jiwekee kiwango Cha chini mauzo yasishuke trey 20 au 15 kwa kila kijana Ila Kama yakipanda itakuwa sawa.
Shukran mkuu umekua optimistic. Alaf hii ni kitu realistic kabisa bas tu kuna watu wana criticize tu hawaelewi. ila hii ni faida ya ufugaji wa kuku kibiashara. Hapa hutakua na limit ya mzunguko wa biashara, the effort the more mzunguko.

Embu fikiria watu wangapi wanakula chips mayai kila siku, Kuna.vijiwe vingapi vya chips, Kuna watu wanauza gunia moja mpaka mbili za chips kwa siku, ulishawah kufukiria wanatumia trei ngapi za mayai. Wenye maduka ya kawaida, Wenye bekari, mahoteli wanatumia mayai kama breakfast na kwenye mabenki pia, wapika vitumbua, wapika keki. its just a matter of marketing na kujibrand. [emoji2]
 
Hawa wateja utakaowahudumia haraka haraka hivyo wanatoka wapi ghafla hivyo? Unafikiri wakati ambao wewe ulikua hujaingia kwenye hio huduma wao walikua hawapati hio huduma? Kama walikua wanaipata basi hapo ndio kuna kazi, ni uchukue miezi kadhaa ndio wateja waanze kuielewa huduma yako, sababu wao pia walikua na mahali wanaipata hio huduma na hawawezi tu kuhama ghafla na kununua bidhaa yako wakati haujaongeza dhamani yoyote kwayo.
Pessimist opinion. CONTROLA
 
Yaah million 4.4 faida Ni kubwa Sana kwenye hiyo biashara watu wengi wangezama Sana huko.

Ila kwangu ninavyoona Kwanza haina haja kuchukua pikipiki tatu zote hizo moja tu inatosha ambayo utaitengenezea kisehemu pale nyuma Cha kuchukulia trey hata 30 au 20 za kusambaza kwa wateja ukimaliza unarudi ofisin kuchukua tena mzigo mpya.
Na all in all ni biashara nzuri Kama ukipata wateja wengi Hawa wengine wasikukatishe tamaa mkuu.

Na ili kuepukana na mayai yaliyoharibika itabidi upate supplier mwaminifu au uwe na kifaa Cha kupimia hayo mayai ili uwe mwaminifu kwa wateja wako.
Maana supplier wako anaweza siku moja kukuchenjia akakuwekea mayai viza yote na ukapata hasara.

Na kingine Kumbuka hutaweza kuuza mayai trey 45 kila siku Kumbuka Kuna kupanda na kushuka labda Leo trey 20 siku inayofuata trey 15 na Tena trey 30 au 40 kwa kila kijana au hata trey 50 kwa hiyo angalia Hilo kwanza na jiwekee kiwango Cha chini mauzo yasishuke trey 20 au 15 kwa kila kijana Ila Kama yakipanda itakuwa sawa.
Na ukitaka kuongeza faida utaanzisha hapohapo biashara ya mayai ya kuchemsha ambapo utakuwa na Vijana wa kukusambazia mayai na mengine kuuzwa hapo hapo dukani.
Kumbuka hapa vijana wanatumia pikipiki, hawatembei kwa mguu au baskeli. so wanaweza kukava eneo kubwa saana. Trust me kama Mtu umempa mafunzo ya jinsi ya kumfuata mteja its very possible. Kila mmoja unampangia maeneo yake yakusupply mzigo
 
Uvunaji sumu za nyoka Ni faida mls moja Ni dola 1.4 kwa nyoka anayelishwa sawa huvunwa ml8-10kwa wiki wakiwa 100 = na mls 1000 sawa na laki322000 kwa wiki sawa na M15 kwa mwaka kwa nyoka 100 tuh je wakuwa 10,000 alisikika mwana CHADEMA mmoja
Soko lake lipo wapiii na Aina ganiii za nyoka wanaotakiwaaa,je unavunaje hao nyoka
 
Inawezekana kwa kweli...kuna jamaa hapa Kinyerezi ana frame analetewa mayai 300 trays na 9 Hills Company na ndani ya siku 2-3 mzigo mwingine unawasili,na hana pikipiki wala baiskeli ni watu wanakuja wenyewe dukani...sipati picha kama angejiongeza na pikipiki 2 used for delivery....na kuna wakati analazimika kufunga duka kwa kukosa/kuchelewa mzigo ...
 
Inawezekana kwa kweli...kuna jamaa hapa Kinyerezi ana frame analetewa mayai 300 trays na 9 Hills Company na ndani ya siku 2-3 mzigo mwingine unawasili,na hana pikipiki wala baiskeli ni watu wanakuja wenyewe dukani...sipati picha kama angejiongeza na pikipiki 2 used for delivery....na kuna wakati analazimika kufunga duka kwa kukosa/kuchelewa mzigo ...
100% Ufugaji unalipa. Demand pia ni kubwa. Na hapo bado hajawaza nje ya box Kuongeza na Huduma zingine kama Kuuza kuku waliokwisha andaliwa kwenye masherehe. Infact Ufugaji unalipa kama ukija na ubunifu wakitofauti.
 
Hawa wateja utakaowahudumia haraka haraka hivyo wanatoka wapi ghafla hivyo? Unafikiri wakati ambao wewe ulikua hujaingia kwenye hio huduma wao walikua hawapati hio huduma? Kama walikua wanaipata basi hapo ndio kuna kazi, ni uchukue miezi kadhaa ndio wateja waanze kuielewa huduma yako, sababu wao pia walikua na mahali wanaipata hio huduma na hawawezi tu kuhama ghafla na kununua bidhaa yako wakati haujaongeza dhamani yoyote kwayo.
Mkuu hapo nimeweka kiwango Cha chini ukijitahidi kwa siku ukiwa na pikipiki moja trey 20 na Kama ukimaliza mzigo utarudi Tena kufata mzigo mwingine Kumbuka Kuna vibanda vya chips wengine kwa siku wanamaliza trey hata 3 mpaka tano Sasa ukiwa na wateja Kama hao 10 ndani ya Dar nzima si unaweza ukauza mzigo...???

Mkuu Kosoa na wewe wapi Pana shida na toa suluhisho usikimbilie tu kukosoa ndo maana tupo hapa kupeana maujuzi namna ya gani ya kuboresha hii biashara na kuiendeleza

Angalizo kabla hujaingia kwenye hii biashara nashauri tafuta kwanza Ni wapi pa kuyapata hayo mayai na kwa Bei gani na je Yana faida na Kama faida ipo Rudi utafute soko Ni akina Nani wa kuwauzia hayo mayai tafuta hata wateja 10 wa kuanza nao angalau hata trey 10 ukishapata Rudi Tena utafute eneo au frame na leseni pia na mwisho Anza kazi na Muda huo ukianza kazi endelea kutafuta wateja wapya na jitahidi kila siku upate wateja wapya angalau 2 Hadi watatu uone biashara itakavyokuwa taratibu.
 
Back
Top Bottom