OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Yaani anamtoa mtu Musoma kwenda kumuona Ali choki.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] jamani
Yaani anamtoa mtu Musoma kwenda kumuona Ali choki.
Nimecheka mnoo
πππMbona hakuna posho? Mchepuko gani anayekubali bila posho [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Acha wivu ππYaani anamtoa mtu Musoma kwenda kumuona Ali choki.
Nimecheka mnoo
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Sleeping allowance rafikiPosho?[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Bora angempeleka chato kushangaa nyumba ya magufuli mbele bar nyuma kanisa.Acha wivu [emoji125][emoji23]
πππMbona hela mchepuko hujaweka hapo.au ulimkopa?
πππsasa mtu wa musoma ulitaka ampeleke wapi ibiza kumuona rihana au criss brown hapo hapo kwa choki ndio hadhi yake. .usikute baada ya kwenda kumuona choki aliomba hadi kupiga nae pichaYaani anamtoa mtu Musoma kwenda kumuona Ali choki.
Nimecheka mnoo
Hiyo 7,000 ni siku nzima.Msosi wa 7K ni wali samaki huo, ama chips samaki.
πππDah michepuko wako kazi anayo. Bajeti ya kimaskini Sana hiyo hata haikupi mzuka wa kutafuta pesa kwa hasira.
Mbona hakuna posho? Mchepuko gani anayekubali bila posho [emoji1787][emoji1787][emoji1787]