Mchanganuo wa gharama ya kulima ekari moja ya mahindi

Umenisaidia sana kujua kwamba kumbe mche mmja unakula gramu 5 tena hapo ni ikiwa imewekwa Kwa ushahidi na hakuna vitu vilivyosababisha ikapotea kama timing mbaya
 
Hesabu za mkoa gani
 
Wacha kutisha watu.Ekari 10 zinakupa faida nzuri,hapo ni gunia minimum 250 *50,000=12,500,000 ambapo gharama zote sio zaidi ya 5,500,000.

Unavyolima ekari nyingi ndivyo unit cost inapungua
Siyo kutishana, hiyo breakdown iliangalia ekari moja. Ninajua pia gharama hupungua kidogo kwa Large scale farming. Ujumbe wang ulilenga uhalisia kwamba ili upate faida inabidi ulime mahindi mengi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…