rodrick alexander
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 16,784
- 23,312
Stand united walipopata wadhamini walijitokeza mafisi kina Tishoborowa na majaliwa mbasa wakisaidiwa na malinzi ili watafune hizo pesa matokeo yake udhamini ukapoteaHivi kwanini hawa wadhamini awaziangalii timu ndogo ndogo kama stand,mbao,nk?hizo timu zikipata mdhamini mnono kama wa simba na yanga,watafanya vizuri sana nakuongeza ushindani mkubwa.Ebu angalieni stand utd wakati acacia wapo,walileta upinzani mkali sana.