Hivi kwanini hawa wadhamini awaziangalii timu ndogo ndogo kama stand,mbao,nk?hizo timu zikipata mdhamini mnono kama wa simba na yanga,watafanya vizuri sana nakuongeza ushindani mkubwa.Ebu angalieni stand utd wakati acacia wapo,walileta upinzani mkali sana.