Mchanganuo wa uimara kati ya tofali za kuchoma na tofali za saruji

Mchanganuo wa uimara kati ya tofali za kuchoma na tofali za saruji

Son of Nun

Senior Member
Joined
May 8, 2017
Posts
179
Reaction score
78
Salaam wanajukwaa,
Ningependa msaada tafadhali kuhusu mada husika hapo juu.
Nawasilisha.
 
Nataka matofali ya kuchoma ntayapata wapi hapa mjini?
Mimi kwa upande wangu sifahamu,
Kingine ambacho sijui ni matofali yapi ni imara kati ya matofali ya kuchoma na matofali ya cement kama una ufahamu nisaidie mkuu.
 
Inategemea na udongo wa sehem (mkoa/kanda) husika, kama uko nje ya Iringa, Njombe, Songea/Ruvuma, maeneo baadhi ya Tabora, Dodoma tafuta simenti kwa gharama yoyote
 
Usilinganishe tofali ya kuchoma na mbolea ya n'gombe ile ni chuma matofali ya cement ni bure kabisa ndio maana nyumba nyingi za mkoloni iwe muingereza au mjerumani zimejengwa na tofali ya kuchoma yan nyumba yoyote iliyojengwa na mkolon kama sio ya tofali ya kuchoma basi imejengwa kwa ukuta wa mawe sio iyo mbolea
 
Uimara wa matofali ya kuchoma hutegemeana na aina ya udongo uliotumika ktk uundaji wake(nature ya udongo) kwa maoni yangu naona block za cement ni nzuri zaidi
 
Inategemea na udongo wa sehem (mkoa/kanda) husika, kama uko nje ya Iringa, Njombe, Songea/Ruvuma, maeneo baadhi ya Tabora, Dodoma tafuta simenti kwa gharama yoyote
Mkuu vipi ukanda wetu huu wa kaskazini kuna ubora kweli wa udongo?
 
Kaskazini pia udongo wake vizuri. sehem zenye mfinyanzi usiopasuka baada ya tofali lake kuchomwa. pia unaweza chimba udongo kwenye vi-ch/suguu ukafyatua lakin kama zinapasuka changanya udongo na majivu kiasi
Shukrani Mkuu,
Ila nina ombi la mwisho naomba kama unaweza nidokeze kidogo juu ya utengenezaji wa hayo matofali ya kuchoma.
 
Nataka matofali ya kuchoma ntayapata wapi hapa mjini?
Kiwanda cha mbezi tiles sijui kama kipo, ukikosa wawezasafirisha toka au tanga morogoro yaliyotayari.Au tafuta udongo wa kichuguu utafute MTU akufyatulie,udongo unatoa tenda Kwa wa Magari.
 
Usilinganishe tofali ya kuchoma na mbolea ya n'gombe ile ni chuma matofali ya cement ni bure kabisa ndio maana nyumba nyingi za mkoloni iwe muingereza au mjerumani zimejengwa na tofali ya kuchoma yan nyumba yoyote iliyojengwa na mkolon kama sio ya tofali ya kuchoma basi imejengwa kwa ukuta wa mawe sio iyo mbolea
Safi
 
Back
Top Bottom