Mchanganuo wa uimara kati ya tofali za kuchoma na tofali za saruji

Mchanganuo wa uimara kati ya tofali za kuchoma na tofali za saruji

Ila kiukweli nashauri mtu atumie zaidi tofari za block maana kwenye finishing kama lipu atajikuta anatumia saruji kidogo kwa tofari za block huwa zimenyooka hivyo hata lipu inakuwa ni inchi chache tofauti na za kuchoma unakuta tofari zina shape tofauti na hata kwenye kujenga unakuta cement (mortar) iliyotumika kujenga matofari 4 ya block ndio hiyo imetumika kujenga matofari 10 ya kuchoma ambayo ukilinganisha size ya ukuta inakuwa sawa (kwa maana nyingine cement itakayotumika kujenga ukuta wa tofari za kuchoma ni mara 2 ya itakayotumika kujenga tofari za block)

Unachotakiwa kuangalia wakati wa kutumia tofari za kuchoma ni kuhakikisha tofari zote zimefyatuliwa na mtu mmoja kwa kutumia kibao kimoja ili wakati wa kujenga usipate shida lakini pia kama hutaki kupiga lipu nje itakusaidia kuwa na aina moja ya tofari kimuonekano hata ukilemba zile joint zitapandeza. Lakini pia pamoja na kwamba tofari za kuchoma zinatumia cement nyingi kwenye kujenga ni nafuu hasa kama unajenga eneo ambalo maji ya kumwagilizia ni shida.

KWAHIYO TOFARI ZOTE NI IMARA TU MKUU UCHAGUZI NI WAKO ila angalizo kama alilotoa TIBIM kwenye post namba 27 kwani sio kila sehemu wanafyatua tofali za kuchoma (kuna maeneo na maeneo)
 
Na yote yanapendeza zaidi
Kabisa mkuu ,,siunajua nyumba ukishaifanyia decoration inavyokua.


Jamaa mmoja ,alitumia milion 70 kujenga nyumba ya tofali akaipamba,, akaenda CRDB akachukua milion zaidi ya 200 ,walivyokuja kuthaminisha wakakubali .

Muhuni mpaka waleo hajulikan alipo ,CRDB wameshajribu kuuza nyumba inashindakana maana baaaaaaaadae ndo wakajua ni ya tofali zakuchoma
 
Umenipata kabisaa mkuu!! Zote niimara.

Tena ukitaka kupunguza gharama nabado ikawa bora ,tumia zakuchoma.
Hasa kwenye bei ya tofari unajikuta unajenga faster (ila angalizo kwenye uchaguzi wa tofari vinginevyo itakuwa mtiti kwenye kupiga lipu hasa kama matofari yametengenezwa sehemu tofauti tofauti na yanakuwa yanatofautiana vipimo ..utajikuta lipu inatumika nyingi kinoma)
 
Hasa kwenye bei ya tofari unajikuta unajenga faster (ila angalizo kwenye uchaguzi wa tofari vinginevyo itakuwa mtiti kwenye kupiga lipu hasa kama matofari yametengenezwa sehemu tofauti tofauti na yanakuwa yanatofautiana vipimo ..utajikuta lipu inatumika nyingi kinoma)
Ndio kabisa , shida nikm vipimo vya tofar vmetofautiana .......itabidi ujifanye kua ""ndo style ulopenda""
 
Kabisa mkuu ,,siunajua nyumba ukishaifanyia decoration inavyokua.


Jamaa mmoja ,alitumia milion 70 kujenga nyumba ya tofali akaipamba,, akaenda CRDB akachukua milion zaidi ya 200 ,walivyokuja kuthaminisha wakakubali .

Muhuni mpaka waleo hajulikan alipo ,CRDB wameshajribu kuuza nyumba inashindakana maana baaaaaaaadae ndo wakajua ni ya tofali zakuchoma
Ila basi tu kama imefuata kanuni za ujenzi nyumba ya kuchoma bado ni imara tu kama itapigwa finishing fresh soko lipo tu labda CRDB wenyewe walishaiweka chini kwa kusema sema tumepigwa nyumba yenyewe ni ya tofari za kuchoma na kuzua taharuki kwa wanunuzi
 
Ila basi tu kama imefuata kanuni za ujenzi nyumba ya kuchoma bado ni imara tu kama itapigwa finishing fresh soko lipo tu labda CRDB wenyewe walishaiweka chini kwa kusema sema tumepigwa nyumba yenyewe ni ya tofari za kuchoma na kuzua taharuki kwa wanunuzi
Yaaan nikm unajua kilichoendelea ,,,wanunuz ndo walipokua wakijua ni ya tofar kuchoma wanaacha kununua.

Tofar ya kuchoma ,ukaipendezesha ,nimatata sana.
 
Shukrani Mkuu,
Ila nina ombi la mwisho naomba kama unaweza nidokeze kidogo juu ya utengenezaji wa hayo matofali ya kuchoma.
Yafyatuliwe tu kawaida kisha yanachomwa kwa kuni au pumba kwa kuyapanga kwa mpangilio maalum ili yote yaive hata kama yatakuwa elf 10 kwa kuacha nafasi kati ya mstari na mstari ambayo baadae itajazwa kuni au pumba.
Ukubwa wa tofauli uwe mdogo kwa mfano inch 14 (urefu) kwa inch 7 (upana) kwa inch 6 (kimo) au chini ya hapa
 
Yaaan nikm unajua kilichoendelea ,,,wanunuz ndo walipokua wakijua ni ya tofar kuchoma wanaacha kununua.

Tofar ya kuchoma ,ukaipendezesha ,nimatata sana.
Nyumba za kuchoma kwa mkoa wa Mwanza ninapewa thamani kama nyumba zingine tu mfano kama mtu amejenga ukuta mpaka level ya kuanzia dirisha akapiga mkanda wa zege na nondo kisha juu akapiga renta yaani nyumba inakuwa imara kweli kuliko hata ya matofari ya block ambayo imejengwa moja kwa moja mpaka renta
 
Back
Top Bottom