Mchangiaji gani katika hili jukwaa unatamani kukutana nae live?

Mchangiaji gani katika hili jukwaa unatamani kukutana nae live?

Miaka kadhaa nyuma wakati nikipita humu kama visitor sijawa niliwahi kusikia members wa JF hua wanakutana kwa parties na kufamiana, ni kweli hii kitu kwa mwenye kujua au ilikua chai tu?
 
Mie huyu jamaa mshana natamani sana nimuone,kuna kipindi tungekutana kampala but ilishindikana!!!

Wengine ni BAK,Kapeace mama watoto wangu!! Hivi Dab yupo duniani? Mwambie nae akuje
Asante kinga kingdom, natamani ivo pia
 
Back
Top Bottom