carbamazepine
JF-Expert Member
- Dec 30, 2015
- 46,562
- 285,591
Sante sergio[emoji120][emoji120]Natamani nikutane na wengi mno Joseverest,DJ,Mwifa,Nahuja,Emmyta,shunie,Linamo,Ukuthy,Bonny,Sky,Kichwa kichafu,Young blood,Carba,Eric Otieno na kuna mmoja special baby mama naomba nisikutaje unajijua
[emoji120][emoji120]santeAisee Mimi naweza weka makundi matatu
1.ninao wakubali kihisi Kali sio za nchi hii natamani hadi kuwatafuna wabichi ni
Kapeace
Joanah
Demiss
2.marafiki Wa kina
Sergio
Jose
Beira
Mwifwa
Behaviorist
3.ninao appreciate michango yao
Mshana Jr
BAK
Kikulachochako
The Bold
Pasco
Sakayo
Wengine miss natafuta mbitiyaza shunie emmyta carba youngblood linamo
Wapo wengi sana.....
Ipi ya uongo?Hahaha basi namba yako ya ukweli ihusike
Hivi si tulikuwa wote jana au??!!! Halafu najua hapo umensingizia jirani...hahaha [emoji28][emoji23]
The bold
Maserati
Mshana
Sakayo
lin
Kichwa kichafu
Sky
Heaven sent
Evelyn salt
Joseverest
Behavorist
Sergio
Farmer poutry
wengine ID zao ngumu kuziandika sikumbuki spelling aisee..
Ambayo inagoma kusoma kwamba muamala umethibitishwaIpi ya uongo?
Hapana, ni mipango mikakati na ujamaa.Huo ni ugaidi mjue
Kwahiyo wewe ndio jini makata au maimuna!!!asilimia 99 humu ni majini ya baharini, kila mmoja abaki huko huko aliko tusionane, tukutane tu humuhumu. kuchati na jini sio tatizo, tatizo ni kukutana nalo
[emoji23] [emoji23] [emoji23] umeshindikana walahAmbayo inagoma kusoma kwamba muamala umethibitishwa
Kweli umetuchoka mkuuasilimia 99 humu ni majini ya baharini, kila mmoja abaki huko huko aliko tusionane, tukutane tu humuhumu. kuchati na jini sio tatizo, tatizo ni kukutana nalo
[emoji120] [emoji120] mdogo wangu wa ukweli Deniskapeace# sky#gudume#johan
Hahaha wala sijashindikana wewe ndo chanzo[emoji23] [emoji23] [emoji23] umeshindikana walah
sina tabia ya kusingiziaa, jana jana jana jana!!!!! [emoji1][emoji2][emoji1]Hivi si tulikuwa wote jana au??!!! Halafu najua hapo umensingizia jirani...
Kwahiyo wewe ndio jini makata au maimuna!!!
Mi sipendi wababu mbip zao fupi etiMi kibabu tutaendana πππ³
Bando kwisha tuma basiMama Sabrina ulikwua wapi ulipotea ghafla
We jini gani sasaasilimia 99 humu ni majini ya baharini, kila mmoja abaki huko huko aliko tusionane, tukutane tu humuhumu. kuchati na jini sio tatizo, tatizo ni kukutana nalo
Habari za toka jana jirani... Acha kujisahaulisha basisina tabia ya kusingiziaa, jana jana jana jana!!!!! [emoji1][emoji2][emoji1]
kweli natamani nikuone