Mchangiaji gani katika hili jukwaa unatamani kukutana nae live?

Kibibi gan emmyta
 
Mshanajr....huyu jamaa anaakili sana. Natamani kumuona nikae naye japo kwa muda mchache tuzungumze anipe siri ya kujua mambo mengi namna hii..
 
Hhehehehe
 
Hahaha
Ila kuna mmoja mwaka juzi alinivunja mbavu anaitwa mama mtarajiwa... Alisema amekutana na mwanaume wa JF lipua lake linafunika uso na mwili hautoshi kwenye camera ya simu...


Haha nyie wanawake wa JF mnapenda kutuonea nyie..
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Hahaha
Ila kuna mmoja mwaka juzi alinivunja mbavu anaitwa mama mtarajiwa... Alisema amekutana na mwanaume wa JF lipua lake linafunika uso na mwili hautoshi kwenye camera ya simu...


Haha nyie wanawake wa JF mnapenda kutuonea nyie..
Hahahaaa!! Sura haitoshi kwenye camera, nilicheka ile siku.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…