Mchangiaji gani katika hili jukwaa unatamani kukutana nae live?

Asante muosha naniliu tunakukubali sana unajua we ni zaidi ya mtani kwetu tukianza kukutania kama babu yetu Mungu azidi kukutunza [emoji7][emoji7]
 
Yaan Mwifwa shunie wako uliyemuumba na shunie mimi watu wawili tofauti yaan hawafanani [emoji23][emoji23][emoji23]
Najua hujui kuwa tukifika kwenye kijiwe cha mapupu lazima wafanane[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
 
Asante muosha naniliu tunakukubali sana unajua we ni zaidi ya mtani kwetu tukianza kukutania kama babu yetu Mungu azidi kukutunza [emoji7][emoji7]
Ahsante kwa kutuwakilisha kwa shukrani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…